..Niandaliwe mimi tena?...wewe si ndio unaomba kuandaliwa ....Basi tukuandae wewe
Mawazo haya pigwi rungu!! hayoo!! mabongo flever wako ndo walivo kudanganya??? na wewe ulivo zoba bila kuhoji uhalali wa kuwa Dalali! ukalibeba ivoivo ukalileta humu!! ....... usirudie tena unasikia dogo??Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Niki unajipigia debe basi n vizuri lakini hapo kwenye hiyo orodha labda Anton Mavunde kidogo lakini mliobaki sifa hamna tofauti na kubebwa.Shikikieni mbeleko vizuri kwa maana muda sio mrefu inatoboka.Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Huyu Niki Huwa anaulimbukeni mwingi Sana .Kisa masters Kila siku kijiita msomi . Masters yenyewe ni ya Sanaa.Niki usijipandishe Sana tulia fanya kazi kwa kufata sheria ukileta matokeo mazuri kwenye utendaji utaonekana tu .Nick wa pili, naona umeanza kujipigia promo mapema kabla ya kumaliza hata miaka miwili kwenye ukuu wa wilaya.
Ila hapo kwenye jumaa aweso umepatia, jamaa linapenda kazi kama magufuli hapo nimemwona magufuli mwingine.
Ana uwezo mdogo Sana na amshukulu Mstaafu Kikwete kumuombea kwa Rais Samia ndo kupata hiyo nafasi.Atulie afanye kazi alete matokeo chanya apunguze kijikweza.Naona Nikki wa pili ulivyo mtu wa ajabu umeanzisha uzi alafu katika list umejiweka wa kwanza.....
Unachekesha sana....jiandae mwenyewe
Haya rahisi wa 2040....
Wapo kwenuKwa hiyo wapo chadema
Mnyiramba apewe nchi!!!..si atapaka mkongo na kutwa ikulu itakua gestiHapo pa Mrisho Gambo nakukubalia
2030 namuona Mwigulu Nchemba akiingia Ikulu
Una ashki na udiktetaRais Ni John pombe na j nyerere Basi hai wengine miyeyusho tu.labda kwa aweso sawa nakubaliana nawe
Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Trust me ukiwa bado unaishi ama utaambiwa na.wajukuu zako mbele za haki, ni.hivi hapo hakuna rais wa 2040 na dynamics ni nyingi hutaamini. AsanteMoja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Halafu udenzi wa watanzania mawaziri wote, rcs na dcs wote wanawaza kuwa marais sio wanawaza tu wanajiona they canMaoni yako yaheshimiwe ila hakuna presidential material hapo labda wapigaji na wauza nchi na raia wake.