Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,800
- 11,333
UshindweeeHapo pa Mrisho Gambo nakukubalia
2030 namuona Mwigulu Nchemba akiingia Ikulu
UshindweeeHapo pa Mrisho Gambo nakukubalia
2030 namuona Mwigulu Nchemba akiingia Ikulu
CCM tunaenda na Bashite. Hao wengine hatuwatambui hata kidogo.Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Pa Mrisho Gambo weka askofu Masanja Mkandamizaji kwani ameonesha uwezo wa kutafuta pesa.Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Ukisema wauza nchi unamaanisha kitu gani?Maoni yako yaheshimiwe ila hakuna presidential material hapo labda wapigaji na wauza nchi na raia wake.
Ondoa hapo hivo vituko vitatuMoja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783
Nikki anajifanyia promo ndugu ,hiyo ni ID yake , kuwa mkuu wa wilaya hata mwaka haujaisha anawaza UraisNimefatilia kwa upana, sana uwezo wako wa mambo nikangundua unajitafutia umaarufu.
Anyway nchi hii haitaji aina ya watu waliopo kwenye mfumo kuibadili, bali inaitaji vijana. Ambao hawapo kabisa kwenye mfumo tulio nayo kwa sasa,
Ila hao vijana wanafaa kuwa wacheza drama za kisiasa za ccm
toa hizi taka.Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo.
Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040.
Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena maandalizi bali mkurupuko.
Hawa wanafaa, tuwajenge tuwaunge mkono;
1) Nickson Simon (Nikki wa Pili)
- Kama wengi wanavyomuita genius, ndivyo ambavyo uhalisia ulivyo. Nikki ana uwezo mkubwa wa akili na anapaswa kuandaliwa kwa ajili ya uraisi 2040. Ni aina ya kijana ambae amezaliwa kioungozi.
Ni msomi, mcha Mungu, muadilifu, mnyenyekevu, msikivu, mkali kwa wazembe. Hakika wakati ni sasa kumuandaa.
2) Innocent Bashungwa
- Jina hili linapaswa kuwemo kwenye orodha ha viongozi wakubwa baadae. Na itakuwa vyema akiandaliwa kuja kuwa raisi wa baadae. Mapungufu yapo Ila anaweza kuandaliwa vizuri na kuyaondoa hayo mapungufu.
3) Juma Aweso
- nashauri akae kwenye nafasi ya uwaziri kwa muda mrefu ili apate zaidi uzoefu baadae atatufaa Sana. Najua ana mapungufu yake Ila system inaweza kumjenga na kuyaondoa.
Ana future nzuri Sana
4) Mashaka mrisho Gambo
- huyu amejipambanua kuwa ni mmoja wa vijana hodari na wenye kaliba ya uongozi.
Ana mapungufu yake Ila yanaweza kurekebishwa na kuja kuwa raisi na hakika tunaweza fika mbali.
5) Anthony Mavunde
- mbunge wa Sasa wa Dodoma ni moja ya watu potential sana miaka ya baadae na akiandaliwa mapema atakuja kuwa kiongozi mzuri sana na mkubwa nchini.
Hao wote Hadi kufika 2040 watakuwa na umri ww miaka 55-60, hivyo utakua wakati muafaka Sana kwao kuwa maraisi. Lakini ninaomba waandaliwe sasa.
View attachment 2007779View attachment 2007780View attachment 2007781View attachment 2007782View attachment 2007783