SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,270
Hata miye nimem miss The Boss kwa kweliThe Boss ameadimika sanaaa
Tunaomba salama tu please.
Walikuwa kwenye ile ndege ya Malaysia iliyopotea.
ladyfurahia, unanitega au unanishutumu? Kama wapo ambao sijawataja si ungewataja tu?umewaona hao pekee yako wengine hujawaona?
ladyfurahia, unanitega au unanishutumu? Kama wapo ambao sijawataja si ungewataja tu?
Hi karibuni kuna matukio mengi sana ya watu waliokuwa wanariport kujisikia kufa ama kuota atakufa mwezi fulani, seem kuna waliokwisha kutekeleza wito! Ndugu yetu Bujibuji sijui kama alifanikiwa ama bado!