screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
1. JOLIE (Haimaanishi)
2. KELLAH (Ukinimiss)
3. RINI MARII (Salaam)
Hawa wadada naona walianza vizuri sana career yao ya muziki, ni vipaji halisi but what happened then? Mbona wako kimya? Wamekata tamaa? Walitegemea mafanikio ya haraka ama wamekosa menejiment?
2. KELLAH (Ukinimiss)
3. RINI MARII (Salaam)
Hawa wadada naona walianza vizuri sana career yao ya muziki, ni vipaji halisi but what happened then? Mbona wako kimya? Wamekata tamaa? Walitegemea mafanikio ya haraka ama wamekosa menejiment?