we Zinduna wewe, me katu sio mgeni. nilikuwepo sana kwenye show zako nyingi tu. sema nilikuwa naingia kimachale sana.
haya show inaanza lini na wamuanzia nani?
Duh siamin nimeitwa mapepe lol, kwan mwanamke hana haki ya kupenda? Achen hzo ths modern wrld nikimfil m2 namuibukia sion ishu, lakin karibu bibi Zinduna....kuna wimbo waitwa sherry zinduna waufahamu? Dedication yako 4rm me
Kipindi nikisongesha hapa wewe ulikuwa bado mpori pori. Karibu dada, naona siku hizi unamudu hata kupaka karo laiti! ha ha ha haaaaaaaa.
Baba V ndo nini kumwambia Zinduna amchague Arabela. mwayego Zinduna nchague mie niwe miss chit chat hakika ntawawakilisha vyema! na wewe Judgement toka lini ukaenda kinyozi kunyoa? wapi mamaa beibe nasty, kama kazi kashindwa ntakupa kigoli mmoja humu!!!!!
hebu nikumbushe mistari, maana mie nazijuz nyimbo mza Mwakakogwa tu
ok mashair yasema hivi;verse 1: wamenieleza matatizo yakooo ...ooooh wamenieleza matatizo ya mume wako....na kisa cha we cherry zinduna kufika kupewa talaka photoalbum yaleta balaa katikat ya darisalama.......kisa ni picha ilopigwa zamani katkat ya mji wa mwanza chorus:cherry zinduna nakupa pole zinduna....
Looo nimeukumbuka, huo wimbo nilikuwa nausikia akiuimba dada yangu. hapo kwenye choruspanaposema, sherry Zinduna nakupa pole Zinduna, mie nilikuwa naimba Shemeji Zinduna nakupa pole Zinduna. LOL