Yummy nishamtema siku nyingi yuko kwa @laria huko na sijui KARIA anampa nini
Nilimuona hana msimamo
Siku hizi niko na Dena Amsi na nyumba ndogo nataka nimwanie sweetlady ila nitonye asijue
hujambo wewe mke wa Asprin
Last edited by a moderator:
Yummy nishamtema siku nyingi yuko kwa @laria huko na sijui KARIA anampa nini
Hiyo taarifa mimi sina kabisa
Yaani umekuja na gudi haidia (good idea)
piga miti , chambegu wangu utiwakilishe! Mcheza kwao siku hizi hatunzwi ! Hata finyango ukose ?
Mr Rocky ni mshauri wangu..niliathirika sana na upigaji punyeto,ila via JF Mr.Rocky alinishauri sana kwa inbox niachane na puli...dah!kweli nimeweza..sasa ujuzi wangu wa maisha mapya nje ya puli ntamuonyesha huyo Zinduna mpaka azinduke!nimemfuatilia sana toka enz na enz humu ndani...Salute Mr.Rocky
Show, inaanza next a wiki ijayo na hapa chini ni wageni watakaohusishwa:
1. BADILI TABIA atahusika juma la wahed
2. manoah atahusika juma la sinina
3. Madame B atahusika juma la thalatha
4. Ruttashobolwa atahusika juma la Arba
5. King'asti atahusika juma la hamsa
6. Baba V atahusika juma la sitaa
7. lara 1 atahusika juma la sabaa
8. platozoom atahusika juma la themania
9. Ciello atahusika juma la tisaa
10. Arushaone atahusika juma la ashara
Kipipi atakuwa standby ku-take over iwapo kuna atakayejitoa.
Kila mmoja anatakiwa kuthibitisha uwepo wake ili kupanga ratiba.
Nawasilisha
Hiyo taarifa mimi sina kabisa
Akuu! Nimeamua kuwa mseja.
Chezea high voltage? Utakufaa kifo kibayaaa sanaaa... Muache ex wife apumzike
hahahaha, gals mna mambo mnataka tayari walio na watu wao , why hampendi ma-singo boyz ?!
haya ngoja niendelee kuangaza angaza huku na kule,