kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
Unajuaje je kama ni vipandikizi wanatuchunguza?! Wafukuzwe warudi huku kwetu hakuna ajira.Shamba boy,house girl,awe tishio kwa usalama wa wakazi,?!!! C Mon meen, ur fucking kidding me!!!
Ndugu yangu hao wanatafuta riziki tu,wakipata wanarudi kwao,au wanaomba uraia wanakuwa wabongo wenzetu,ni kama walivyo Latinos kule kwa mkulu Trump,
Watu wabaya kwa usalama wa nchi hii,ni,mafisadi wote,waliojaa kuanzia halimashauri mpaka ikulu,watu ambao maamuzi yao,yanatugharimu sisi na kizazi cha NNE kutoka sasa,na wore hao wapo upinzani,na CCM,
Unaenda hospitali,SAA NNE,bado hujamuona dakitari,polisi wanakaa nyumba za tope,wadogo zetu wanakosa mikopo ya elimu ya juu,
Wanao sababisha haya,hao ndio hatari kwa usalama,
CCM haifai,inabidi iondoke,upinzani,umejaa opportunist tu,na vibaraka,propagandist tu,hawana jipya,ukimtoa Kafulila,na Zito Kabwe tu,wengine wote,hata wakipewa nchi,hamna kitu,inabidi tuanze upya,