maguluashimba
Senior Member
- Sep 13, 2017
- 156
- 137
Wakuu tunashangazwa na uwepo kwa wingi kwa hawa RAIA toka Malawi huku tegeta masaiti wakifanya kazi za ulinzi, uhouseboy, uhoysegirl, Shamba boy, etc. Watu hawa hawana kibali chochote cha ukazi. Nadhani watu hawa ni hatari kwa usalama wa wakaazi wa huku na usalama wa nchi kwa ujumla. Uhamiaji wamelala?.