JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
😂😂😂Wauliwe
😂😂😂Wauliwe
Kweli mkuu, tuachane na social valuesMkuu kama hakupunguzii shilingi yako mfukoni vyema tuwaache tuu wafurahie ya duniani
Seriously mkuu?Mwenye namba ya huyo dada jamani
Kama hujainhale Moshi utatoka vipi?Hiyo dunde wamepiga nayo tu picha,utavuta shisha bila moshi kutoka?
100/100Seriously mkuu?
Duuuh100/100
Sawa mkuu japo na mimi niliipata mtandaoni lakini unahisi ni sahihi kumvutisha shisha mtoto mkuu?Hiyo ni starehe
hivi hiyo shisha huwa ni kilevi? ina madhara gani? sisi wengien wa bara hatujui hayo mambo. tujuzeni.
Ina system kama bhange tuhivi hiyo shisha huwa ni kilevi? ina madhara gani? sisi wengien wa bara hatujui hayo mambo. tujuzeni.