Huyu mama gharama za kulipia kesi ndio zinampa stress halafu na zile gharama alizotumia wakati wa kampeni lazima achanganyikiwe na atupwe mirembe
Anatafuta attention tu huyo
kwa mara ya kwanza mkuu tangu nijiunge jf leo ndio nimeona umenenaHawa Nghumbi kwani maisha bila ubunge hayawezekani ki ukweli jimbo la Ubungo huwezi kushinda...jipange na kazi zingine.
Ninakubaliana nawe kabisa Mkuu, kama katiba inmruhusu, mwacheni aende hata Mahakama ya Kimataifa. Ikiwa anakimbia kulipa gharama, na akifika huko akashindwa tena na bila ya shaka atashindwa, gharama zitaongezeka na aibu juu. Sikio la kufa.Kama kweli sisi tunaheshimu utawala wa sheria na demokrasia pia lazima tukubali kuwa ni haki yake kikatiba kukata rufaa! Acheni aende huko mahakamani tena haki ndio itapatikana huko!
Ninakubaliana kabisa na wewe Mkuu.Hawa Nghumbi kwani maisha bila ubunge hayawezekani ki ukweli jimbo la Ubungo huwezi kushinda...jipange na kazi zingine.
Tena kwa kuwa ritz1 amesema kile anachoamini, isipokuwa hapa kamsema wa CCM, leo amenenaik, lakini siku akisema anachoamini kwa kuisema CDM, huwa hasemi, anapayuka tu. Uhuru wa kutoa maoni haushii katika kusifia chako na kukosoa cha wenzako tu.kwa mara ya kwanza mkuu tangu nijiunge jf leo ndio nimeona umenena