Hawa Ndiyo Wanawake

Hawa Ndiyo Wanawake

Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika

Huyo mke atakua Mchaga au Mmburu wa Babati, bishaaaa
 
Sahv Hawa mbwa wanawaza mali tu

Kiongozi wetu sahii vitu vyake vinagawanywa pasu Kwa pasu na mkewe

Mkewe aliwah kumshitak ili ampe duka,jamaa akaamuliwa ampe kwel akampa likawa limemshinda likafilisika baadae akaanzisha kesi ya kugawana vitu pia kashinda leo ndo wapo wanawagawanyisha
Inasikitisha sana
 
Kabisa mzee wangu... enzi zenu si kama enzi zetu! Vijana wa kiume ni watu wa kuhurumiwa mno dunia ya leo.
Kwa kweli, na hawa jamaa wa Kataa ndoa hawajui tu madhara yake.

Familia ndiyo msingi wa kila kitu, iwapo hakutakuwa na familia ina maana tutakosa Viongozi kwenye kila sehemu, kuanzia Misikitini, Kanisani, Mashuleni, Hospitali, Wilayani, hadi Rais wa Nchi. Kwani sehemu ya kwanza ya kumuandaa Kiongozi huwa ni kwenye familia.
 
Kwa kweli, na hawa jamaa wa Kataa ndoa hawajui tu madhara yake.

Familia ndiyo msingi wa kila kitu, iwapo hakutakuwa na familia ina maana tutakosa Viongozi kwenye kila sehemu, kuanzia Misikitini, Kanisani, Mashuleni, Hospitali, Wilayani, hadi Rais wa Nchi. Kwani sehemu ya kwanza ya kumuandaa Kiongozi huwa ni kwenye familia.
Hii comment imenifanya nitafakari sana ...[emoji58]
 
Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
wanawake wanaua sana waume zao hata bila ya hayo madude uliyoorodhesha hapo,wanaua tu ili wapate kumiliki na kutawala miji itakayoachwa na waume zao
 
wanawake wanaua sana waume zao hata bila ya hayo madude uliyoorodhesha hapo,wanaua tu ili wapate kumiliki na kutawala miji itakayoachwa na waume zao
Mkuu una mifano/visa kadhaa?
 
Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
Lete kisa kizima
 
Back
Top Bottom