Inaonekana Kampeni yao ya Kataa ndoa wameamua kubadiri mbinu tu
Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
Inasikitisha sanaSahv Hawa mbwa wanawaza mali tu
Kiongozi wetu sahii vitu vyake vinagawanywa pasu Kwa pasu na mkewe
Mkewe aliwah kumshitak ili ampe duka,jamaa akaamuliwa ampe kwel akampa likawa limemshinda likafilisika baadae akaanzisha kesi ya kugawana vitu pia kashinda leo ndo wapo wanawagawanyisha
Aibu yaoInaonekana Kampeni yao ya Kataa ndoa wameamua kubadiri mbinu tu
Kuna watu wenye akili za aina hii. Nashangaa watu wanaona kuwa haiwezekani. Tena ni rahisi sana...
Hali ikiendelea hivi sijui mambo yatakuwaje miaka 20 ijayo.Aibu yao
Ni MchaggaHuyo mke atakua Mchaga au Mmburu wa Babati, bishaaaa
Kabisa mzee wangu... enzi zenu si kama enzi zetu! Vijana wa kiume ni watu wa kuhurumiwa mno dunia ya leo.Hali ikiendelea hivi sijui mambo yatakuwaje miaka 20 ijayo.
Mungu awasaidie Vijana wetu
DahNi Mchagga
Kwa kweli, na hawa jamaa wa Kataa ndoa hawajui tu madhara yake.Kabisa mzee wangu... enzi zenu si kama enzi zetu! Vijana wa kiume ni watu wa kuhurumiwa mno dunia ya leo.
Hii comment imenifanya nitafakari sana ...[emoji58]Kwa kweli, na hawa jamaa wa Kataa ndoa hawajui tu madhara yake.
Familia ndiyo msingi wa kila kitu, iwapo hakutakuwa na familia ina maana tutakosa Viongozi kwenye kila sehemu, kuanzia Misikitini, Kanisani, Mashuleni, Hospitali, Wilayani, hadi Rais wa Nchi. Kwani sehemu ya kwanza ya kumuandaa Kiongozi huwa ni kwenye familia.
wanawake wanaua sana waume zao hata bila ya hayo madude uliyoorodhesha hapo,wanaua tu ili wapate kumiliki na kutawala miji itakayoachwa na waume zaoKuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
Mkuu una mifano/visa kadhaa?wanawake wanaua sana waume zao hata bila ya hayo madude uliyoorodhesha hapo,wanaua tu ili wapate kumiliki na kutawala miji itakayoachwa na waume zao
Kwanini mkuu?Hii comment imenifanya nitafakari sana ...[emoji58]
Lete kisa kizimaKuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika