Wewe ulijuaje kama mke alijaribu kumuua ili apate kiasi hicho cha pesa?Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
Polisi walimfinyaWewe ulijuaje kama mke alijaribu kumuua ili apate kiasi hicho cha pesa?
Naomba na K yakoNaomba na chapati mbili
Okay na asante kwa taarifaPolisi walimfinya
Serikali yetu nayo ina huu ubaguzi, watumishi wa mahakama wanapewa Mil kadha wakifiwa, ila hizi ajira zingine mmmh!!Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
Hatari..!!!Kuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
Njoo uchukue dearNaomba na K yako
Mkuu Nisaidie no yake kuna mambo nataka kumuulizaKuna mke wa mfanyakazi wa taasisi yetu alisikia kuwa mfanyakazi akifa, siku ya mazishi mke wake atapewa na taasisi 3m, atapokea michango ya rambirambi kutoka kwa wafanyakazi na ataendelea kupokea net salary ya mumewe kwa miezi 24, akajaribu kumuuwa muewe kwa sumu, mume akanusurika
📌📌✌Yaani milioni 3 ndiyo zimfanye huyo Mwanamke atende kosa la jinai?
Wakati mwingine hata kama unamchukia mtu ibaki wewe mwenyewe sio kutaka kila mtu amchukie, kuna wenzio tunatendewa wema na hao Wanawake hadi tunakosa cha kuwalipa.
Kuna watu wenye akili za aina hii. Nashangaa watu wanaona kuwa haiwezekani. Tena ni rahisi sana...H
Hadi naogopa kuoa