Yangu macho, najuta kuzaliwa Tanzania. mambo ya ajabu kweli. yani hata wale manesi wa vijijini wanaoujua uchungu wa kazi ngumu na sekta ya afya ilivyo duni na miundo mbinu yake, sijaona hata wakichaguliwa ili iwe changamoto na motivation, wanachanguliwa watu ambao hata ofisi zilishawashinda na wakawa useless. Lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!