Kwa ujumla kipimo cha intelligence ni pamoja na uwezo wa kufundishika.
Kama umefundishwa kitu kwa miaka 7 hukuelewa, miaka 4 hukuelewa, miaka 2 hukuelewa, miaka 3 hukuelewa, miaka 2 hukuelewa. Basi ni dhahiri una low IQ.
Tanzania ina two official languages:
1) English - ndiyo maana hata sheria zetu zote zinatungwa kwa kutumia lugha ya Kiingereza, kisha zinatafsiriwa kwa Kiswahili
2) Kiswahili - ni lugha ya pili rasmi baada ya Kiingereza.
Tuna hizo lugha mbili tu ambazo ni official. Ikitokea huzijui hizo zote mbili, kwa kweli ni tatizo maana siyo kitu kinachotazamiwa.
English na Swahili - ukilinganisha na enzi za Jesus Christ, ni sawa na Greek na Hebrew. Kigiriki ilikuwa ni official language ya kwanza, lugha ya wasomi na mambo yote yaliyoonekana ya kitaalam. Kiebrania ilikuwa ni lugha iliyotumika zaidi kwenye mawasiliano ya watu wa kawaida, au tuseme ni lugha ambayo iliongewa zaidi na watu ambao hawakuwa wameenda shule.
Wasomi walishangazwa na uwezo wa Yesu kuongea Kigiriki na wakati hakwenda shule. Uwezo wa kumudu lugha na mpangilio wa kuongea ndiyo ishara ya mwanzo ya kumtofautisha mtu mwenye weledi na ambaye hana maana hatutembei tukiwa tumebeba makaratasi ya mitihani bali vichwa vyetu ambavyo hutoa tulivyo navyo vichwani mwetu kwa vinywa kwa kunena kwa ufasaha lugha zinazoeleweka kwa wenzetu.
Hata ungekuwa physist wa hali ya juu kiasi gani lakini unaenda conference unaanza na ze ze ze nani hii, hakuna atakayekuona unacho hicho ulicho nacho.
Tuwahimize watoto wetu kujifunza kwa bidii na kuzimudu lugha zetu hizi mbili maana wakishindwa kuwasiliana, hata maarifa waliyo nayo, hayataweza kuonekana.
Akiandika kwa Kiingereza, sidhani kama kutakuwa na wachangiaji wa kutosha.
Kabila langu linaingiaje hapo?We kabila gani kwanza?Tuanzie hapo!
Heheheee...Jamani ! Si umalizie tu kwa kiswahili !!! "Mentalty slave" ndio nini ?
Watanzania wengi hata kuongea Kiswahili hawawezi!Kitu kingine ambacho wenzetu wanazingatia mbali na ku master lugha ni uwezo wa kuwasilisha mada au mawazo yako ndani ya muda mchache na kueleweka, ndo maana kuna hadi mashindano ya kuwasilisha ndani ya dakika 3. Mtu ambae ana misamiati ya kutosha kwenye lugha ana uwezo wa kucheza na maneno na akaongea kwa kujiamini kabisa na akaweza ku master hata muda anaohitaji kuwasilisha mawazo yake na kila mtu akamwelewa.
Kwa hiyo nawe unaona umeleta uzi wa maana ktk JF. Fara mkubwa we! Inaonekana hata hujui unachokifanya. Watu kama wewe ni wale ambao walipata majina ya bandia utotoni kwa kuramba kamasi, uliyerithi kichwa na mwili mkubwa matokeo yake biolojia ikashindwa kukupa la kujivunia. Ukitaka kujua ubovu wa akili yako Sikiliza kiingereza cha Einstein, jipime nini umefanya dunia hii kama siyo wizi wa penseli na sasa unahangaika wapi upate pesa.Akili zimegawanyika katika makundi kadhaa. Sitopenda kuzungumzia hayo makundi. Ila leo naweza kidogo kutambua Marais wawili kati ya watano ambao wamewahi kuongoza Tanzania.
Kwa upande wa ku master lugha vizuri au kuwa na intelligence kubwa katika lugha za kigeni wa kwanza alikuwa Mw.Julius Kambarage Nyerere na wa Pili ni Benjamin William Mkapa.
Hawa walikuwa wazuri sana katika lugha ya kiingereza. Tunasema walikuwa competent in english language. Baada ya hapo hatukuwahi tena kupata marais ambao sisi tunaoifaham lugha tulikuwa tuna enjoy.
Hawa jamaa walikuwa na akili. Mkapa kama angekuwa tu na uangalizi mzuri asingejichanganya na mafisadi alikuwa mmoja ya marais wenye akili.sure alikuwa na akili akaitumia vibaya.
Mwinyi alikuwa mzuri kwenye lugha mama...hii alizaliwa akiizungumza hakuna jipya sana.
Ukija kwa mzee wangu Mwinyi ,Kikwete na Dr. Magufuli. Hawa kiingereza chao ni cha ugoko.kinagonga gonga hivyo hivyo. Ze... Ze ze ze... Ndo hivyo tena.nliwahi msikiliza mara kadhaa kikwete akihojiwa kwa kiingereza ni aina ya kiingereza anachozungumza mtoto wangu wa standard 5.
Hamna kitu...alipata shida siku ile amekuja Obama anahojiwa suala la yule mfanyakzi wa ubalozini kule ughaibuni... Nikamwonea huruma.
Mwinyi hakuwa na makuu. Yeye alizoea kugonga kiswahili na was ok with that.
i doubt ic you understand what I have written! p.o.o.r member!😂😂
argue against the topic not the giver of topic! shame on you DUDE!!!!😁😁😂😂Side chicks always bark a lot than the wives. Wewe unataka onesha mahaba kuliko mke. You will never get married ,you will keep on barking....
argue against the topic not the giver of topic! shame on you DUDE!!!!😁😁😂😂
Mkapa ana Miaka 81 bado matamshi yake yako vyema
Nyerere alifikia Miaka hii ya Mkapa?
Ukipenda hata Chongo utaita kengeza
Mzee Mkapa hata Kiswahili chake hakina mashimo
kiingereza nyerere alifundishwa na waingereza,akaishi huko masomoni,akakaa nao muda mwingi..mkapa kiingereza ni masomo yakeumewahi kusikiliza debate ya Nyerere na panel iliyoinclude mke wa raisi Rosevelt mwaka 1960?,Nyerere alikuwa na Kiingereza kizuri zaidi na alikuwa na substance za kifalsafa zaidi. Mkapa anatumia zaidi misamiati migumu lakini substance density ndogo
mabwege muko wengi! Nawe unaamini ni tatizo! Uko JF! Unaamini ukijua english matatizo huna! Tuanzie kwako. Unakiweza kiingereza? Eti common wealth! Mozambique wanazungumza Kiingereza? Au hujui kwamba ni member wa common wealth? Trush!Tuache ujinga na kutetea upuuzi. Kiingereza ni lugha yetu,tunaanza kufundishwa tukiwa darasa la tatu halafu kuanzia kidato cha kwanza hadi digrii ya uzamivu lugha ya kufundishia ni kiingereza. Ni mojawapo ya lugha rasmi ya uendeshaji wa serikali na pia ni lugha rasmi ya mahakama na sheria zetu. Sasa usilete nye nyee zako hapa! Kama kuna nchi huko ambayo ni Anglophone na ni member wa commonwealth halafu mkuu wake wa nchi hajui kiingereza hilo ni tatizo.
Una kiwango gani cha Elimu wewe? Nyie ndo wale wale wenye Elimu za kuunga na super glue.
Huwezi kuwa PHD Holder halafu Kiingereza kikutese hayo ni maajabu makubwa mno ya Dunia.
Uwezo wako wa fikra ni mdogo mno, yaani Nyerere unamfananisha na Magufuli? Kwa lipi hasa? unasifia manunuzi ya ndege ,unajua mkataba uliotumika kununua ndege?
Kama serikali tajiri ya Marekani inanunua ndege Kwenye makampuni yake ya ndani kwa mkopo, wewe unasifia ujinga usiojua lolote, hizo ndege skrepa za mitumba nyie wajinga eti mnadanganywa ni ndege mpya, wewe unajua process za kupata ndege mpya inachukua miaka mingapi baada ya purchasing order?
Unasifia maendeleo wakati nchi ipo Kwenye recession ya kiuchumi, mchele, sukari vipo bei juu, inflation ipo zaidi ya 8%,serikali huwa haifanyi biashara, sasa ATCL ilitakiwa iwe privatized na Siyo serikali ikomae kufanya biashara.
Ajira hakuna ni 0% employment rate, halafu unasema Magufuli kaleta maendeleo, nyie ndo wale ambao Prof James Watson aliwafananisha na nyani akili zenu.
Maendeleo huwa hayaandikwi magazetini, bali huonekana kwa watu, sisi tunaoishi ktk mataifa yaliyoendelea hatuoni magazetini maendeleo ya hapa bali tunayaona kwa macho.
Una akili timamu kweli wewe kusema Tanzania ina maendeleo?