Hawa ndiyo binadamu

Hawa ndiyo binadamu

Hii ndio changamoto kubwa ya baadhi ya KE hasa wanapohitaji mkopo toka Kwa ME wakati mwingine anaweza jiheshimu asionyeshe mazingira ya kumalizana chumbani...ila halipi tu na anaona kama ni wajibu wako umsaidie hata kama hauna mahusiano nae, kumdai inakuwa kama unambugudhi
Lakini wengine hatuko hivyo
 
😂😂😂😂😂 heee jamani kwahiyo mtu asifanye mambo yake kisa ww unashida? Na kama anazo haimaanishi hazina kazi inawezekana anazo ila zina mipango
Ni heri hata angejibu basi kuwa hana wakati huu kilichoniuma siyo kushindwa kunikopesha ni kitendo cha kunikalia kkimya na kubluetiki msg yangu😪😪
 
Tigo(Waungwana wanajiita Mixx siku hizi), voda na airtel wana sio chini ya huduma mbili za ukopeshaji.

Mimi wananiinua sana nisipokuwa na kibunda.

Kuhusu huyo rafiki yako achana naye, labda katoka kuchangia harusi.

Usikae na line moja kama ni mtu wa kufanya transactions kwenye simu.
Kuna watu tuna Mimi kuanzia voda na Aireli huko kote sikopeshwi, ukija mikopo ya mitandao ndo kabisa Wala hata hawanikubalii, wengine lakini wanakubaliwa isee
 
Back
Top Bottom