kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
- Thread starter
- #41
Asante sana mkuu ubarikiweNjoo nikuoatie bure mrembo, chap kidogo kabla hawajizima Jf 🤗
Asante sana mkuu ubarikiweNjoo nikuoatie bure mrembo, chap kidogo kabla hawajizima Jf 🤗
Mitandao ya simu wanakopesha pesa kidogoLabda upunguze kujipa umuhimu kwenye maisha yake.
Kopa kutoka mitandao ya simu.
Pia, watu tuna maumivu ya kukopesha na kuishia kudhulumiwa.
Unataka kukopa shilling ngapi?Mitandao ya simu wanakopesha pesa kidogo
200kUnataka kukopa shilling ngapi?
Hakuna kitu sipendi kama hicho bora hata mtu aniambie sina nijue mojaUsiwaze, kuna ile unasoma message alafu unasahahu kuijibu, lakini mwingine hapendi jieleza kwamba sina au lah, au anawaza mahala pa kukutafutia. Mie ni mmoja wapo mtu akiomba hela nitasoma message ila sikimbii kumtumia au kujibu .. relux
200k unapata kwa simu..200k
Si ndiyo hawajibu hata meseji nawaombaje200k unapata kwa simu..
Nina line mbili za Airtel, moja inaweza kukopa 450k - Timiza, nyingine inakopa maximum 210k.
Hoja yangu ni hii; kama hupati mtu wa kukupa cash, jaribu kuwaomba wakukopee. Kama wako tayari.
Mi ninachojua pesa ya mtu huwezi ipangia mahesabu cute.Sikuzote mwenye pesa akifa ndiyo watu hutumia pesa yake watakavyo.Ni mtu mzima kabisa na pesa zake, bora hata angeniambia hata hana kuliko kunibluetiki na kuendelea kupost status🥲🥲
Hakika....Tena anaweza asikupe na ukayakuta majungu mtaa wa pili.binadamu hana tofauti na mnyama tofaut ni akili
Kuna taasisi za mikopo ya dharura. Nenda hukoNRNE
Nimekaa najiuliza hivi binadamu wa siku hizi wamekuwaje, wakati wa raha watakuwa na wewe, lakini ukipata shida hutawaona kabisa.
Just imagine mtu unamwambia akukopeshe siyo unamuomba anaibluetiki hiyo msg na status anaweka kama kawaida.
Ngoja niishie hapa nirudi kifungoni🥲
Hata kimya ni jibuNi heri hata angekuwa amejibu kuwa hana nijue ameonyesha dharau, ameibluetiki na kuendelea na mambo yake
Huwezi mpangia mtu kwenye maisha haya best.. ukitaka watu waishi utakavyo utaumia sanaaHakuna kitu sipendi kama hicho bora hata mtu aniambie sina nijue moja
City Owl nikopee timiza ten tu basi nitakulipa kiongizi200k unapata kwa simu..
Nina line mbili za Airtel, moja inaweza kukopa 450k - Timiza, nyingine inakopa maximum 210k.
Hoja yangu ni hii; kama hupati mtu wa kukupa cash, jaribu kuwaomba wakukopee. Kama wako tayari.
NRNE
Nimekaa najiuliza hivi binadamu wa siku hizi wamekuwaje, wakati wa raha watakuwa na wewe, lakini ukipata shida hutawaona kabisa.
Just imagine mtu unamwambia akukopeshe siyo unamuomba anaibluetiki hiyo msg na status anaweka kama kawaida.
Ngoja niishie hapa nirudi kifungoni🥲
Hii ndio changamoto kubwa ya baadhi ya KE hasa wanapohitaji mkopo toka Kwa ME wakati mwingine anaweza jiheshimu asionyeshe mazingira ya kumalizana chumbani...ila halipi tu na anaona kama ni wajibu wako umsaidie hata kama hauna mahusiano nae, kumdai inakuwa kama unambugudhiJukopeshwa siyo haki yako ya kimsingi na wanawake huwa hamrudishi pesa mnataka badala yake mtoe uchie. Huyo mzee yupo sahihi.
Tigo(Waungwana wanajiita Mixx siku hizi), voda na airtel wana sio chini ya huduma mbili za ukopeshaji.NRNE
Nimekaa najiuliza hivi binadamu wa siku hizi wamekuwaje, wakati wa raha watakuwa na wewe, lakini ukipata shida hutawaona kabisa.
Just imagine mtu unamwambia akukopeshe siyo unamuomba anaibluetiki hiyo msg na status anaweka kama kawaida.
Ngoja niishie hapa nirudi kifungoni🥲
Dah,Just imagine mtu unamwambia akukopeshe siyo unamuomba anaibluetiki hiyo msg na status anaweka kama kawaida.
Dah! Sidhani maana siyo mtu ninayeonana naye mara kwa maraDah,
Ukiona hivyo kuna jambo hujamfinyia vizuri
Asante mkuu nitajitahidi kuwa na laini za ziadaTigo(Waungwana wanajiita Mixx siku hizi), voda na airtel wana sio chini ya huduma mbili za ukopeshaji.
Mimi wananiinua sana nisipokuwa na kibunda.
Kuhusu huyo rafiki yako achana naye, labda katoka kuchangia harusi.
Usikae na line moja kama ni mtu wa kufanya transactions kwenye simu.