Hawa ndio watu wa ‘Love Connect’

Hili la kukimbiana linatokea mara nyingi kuliko watu wanavyodhania. Mimi nimesimuliwa na msichana mmoja. Anasema baada ya kuwasiliana kwa meseji na email, walipanga kuonana na jamaa sehemu. Msichana alifanya huo huo ujanja i.e. alitangulia mapema sana kabla ya ule mda waliopanga halafu akabana kwa mbali kidogo kwenye kona. Akasema muda ulipofika akampigia na kumwambia yuko njiani hivyo amwekeze alikokaa (kumbe yuko pale karibu anachunguza). Ghafla akaona bonge nyanya fulani lina kitambi kikubwa (sorry kwenye wenye vitumbo) limebana sehemu linampa maelekezo. Alitimua kama ameona koboko!
😂😂
 
Hili la kukimbiana linatokea mara nyingi kuliko watu wanavyodhania. Mimi nimesimuliwa na msichana mmoja. Anasema baada ya kuwasiliana kwa meseji na email, walipanga kuonana na jamaa sehemu. Msichana alifanya huo huo ujanja i.e. alitangulia mapema sana kabla ya ule mda waliopanga halafu akabana kwa mbali kidogo kwenye kona. Akasema muda ulipofika akampigia na kumwambia yuko njiani hivyo amwekeze alikokaa (kumbe yuko pale karibu anachunguza). Ghafla akaona bonge nyanya fulani lina kitambi kikubwa (sorry kwenye wenye vitumbo) limebana sehemu linampa maelekezo. Alitimua kama ameona koboko!
Hujafa hujaumbika
 
Tatizo linakuja hapo kwenye kujenga picha Yako kichwani
Mahusiano ya kuanzia kwenye chart room za social media siyo kabisa. Ni wengi walikuwa wanachati kwa mahaba na waliodhania kuwa ni wenza watarajiwa lakini siku ya kukutana uso kwa uso mmoja akatoka baru. Pamoja na kuwa siku hizi kuna video calls na ku-share picha lakini nilichogundua kuna watu (hasa wanawake) wataalam kweli kweli kwenye kupiga picha waonekane ni warembo kuliko walivyo. Halafu wanajua sana kuficha sehemu ambazo wanaona hazivutii na kuonyesha sehemu zenye mvuto. Au ku-edit picha.
 
Mahusiano ya kuanzia kwenye chart room za social media siyo kabisa. Ni wengi walikuwa wanachati kwa mahaba na waliodhania kuwa ni wenza watarajiwa lakini siku ya kukutana uso kwa uso mmoja akatoka baru. Pamoja na kuwa siku hizi kuna video calls na ku-share picha lakini nilichogundua kuna watu (hasa wanawake) wataalam kweli kweli kwenye kupiga picha waonekane ni warembo kuliko walivyo. Halafu wanajua sana kuficha sehemu ambazo wanaona hazivutii na kuonyesha sehemu zenye mvuto. Au ku-edit picha.
Ndio bro, mwanamke anaweza kupiga picha ya snap ikipostiwa tu unapagawa, sasa kimbe mbe ukionana nae aisee
 
Huyu jamaa katekwa sio mapenzi yake, ndio maana unaona kwenye picha kuna mwamnba mwingine amekaa akicheki usalama
 
Huyu jamaa katekwa sio mapenzi yake, ndio maana unaona kwenye picha kuna mwamnba mwingine amekaa akicheki usalama
Love connect baba, umeenda bila timing Mzee, mama kagundua unataka usepe akaona hii haikubaliki.

Usipokua makini hata Ndoa unafungishwa hapo
 
Screenshot_20221128-073049_Quora.jpg

Shida ni kwamba filter ni nyingi siku hz
 
Kuna mdada aliwah mwambia jamaa yetu kuwa mimi sio mzuri,ujiandae kukutana na mtu wa kawaida,jamaa yetu akamjibu wala hata usiwe na shaka nimelizika kuwa na wewe,nitakupenda hata ukiwa vipi

Basi walikuwa wakipigiana simu na chat za mara kwa mara,mapenzi moto moto na yule dada ilionekana ni mtu mwenye pesa yaan alikuwa vizur kiuchum

Basi siku ya kuonana ikafika,ile wamefika kituoni jamaa yetu ikabid ajifiche kwanza ili amuone kwanza huyo mwanamke mwenyew,anasema alipomuona tu alishindwa kuvumilia ikabid akimbie na simu akazima,anasema yule dada alikuwa mbaya balaa sura kama ya iddi amini na kapanda hewani,
ila watu jaman khaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanafanikiwa bt kumpata yule uliyemu-imagine kichwani mwako ndio tatizo.

Shida ya love connect unanza kujenga lipicha lako kichwani the way unavyo wasiliana na huyo soul mate wako, sasa siku ya kuonana Ooh! My God! Unakutana na mtu unaona huyu ulimuona kwenye movie ya wrong turn kama sio the walking dead

Cheeh....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kukimbiana linatokea mara nyingi kuliko watu wanavyodhania. Mimi nimesimuliwa na msichana mmoja. Anasema baada ya kuwasiliana kwa meseji na email, walipanga kuonana na jamaa sehemu. Msichana alifanya huo huo ujanja i.e. alitangulia mapema sana kabla ya ule mda waliopanga halafu akabana kwa mbali kidogo kwenye kona. Akasema muda ulipofika akampigia na kumwambia yuko njiani hivyo amwekeze alikokaa (kumbe yuko pale karibu anachunguza). Ghafla akaona bonge nyanya fulani lina kitambi kikubwa (sorry kwenye wenye vitumbo) limebana sehemu linampa maelekezo. Alitimua kama ameona koboko!
mbavu zangu mie uwiiiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom