Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

Status
Not open for further replies.
Mkuu kwanza shukran kwa kuuliza japo sidhani kama unataka kuelemika au unauliza tu kishabiki maana hata Wakristu wanagombana na nadhani wana madhehebu mengi kuliko Waislaam..

Tatizo la dini zetu sote ni moja tu, pale Culture za wahusika zinapoingizwa ktk imani. Iwe kutetea mila na desturi zao kwa sababu hazikuzungumziwa ktk Kuruan au Biblia. Hivyo basi Uislaam hauna tofauti sana na Ukristu pale mila na desturi zinapochanganywa na imani ya dini. Mungu wa Waislaam ni yule yule wa Wakristu isipokuwa huyu kwa Waislaam hakuzaa wala kuzaliwa, wala hana mfano na alitakalo liwe linakuwa.

Na sijui kama unafahamu ya kwamba Mtume Muhammad (S.A.W)alipotaka kuhubiri dini mtu wa kwanza kuonana naye alikuwa mkewe kisha Padre mmoja kipofu ambaye ndiye alimhakikishia kuwa ujumbe alokuwa nao sii wake yeye bali wa Mwenyezi Mungu, hivyo nenda kawatangazie watu wako.

Na kuhusu Udini nchini, kwa nini usiishe ikiwa sisi tumeweza kuishi kwa miaka 27 ya Nyerere pasipo Udini?..Kubadilisha tu mfumo wa elimu na Afya udini huoo unachipuka..
Mkuu Mkandara. asante sana kwa taarifa nzuri na mtazamo wako juu ya maswala haya. Tofauti kubwa kati yangu mimi na wewe ni kwamba mimi siamini uwepo wa Mungu! na kama angekuwepo basi asingekuwa huyo anaye elezwa kwenye vitabu hivi vinavyomsimulia kwani huyu wa kwenye vitabu amekuwa "personfied" mno mpaka anapoteza umungu wake!.

Lakini hoja sio hiyo kwani la msingi mimi naheshimu imani za watu ikiwa pamoja na ya kwako. Kwa utofauti mkubwa wa mitazamo kama ilivyo sasa hivi kati ya wanaopambana na mfumo "kristo" hata kama MoU ikaondoka leo, bado tatizo litabaki palepale kwani mpaka sasa kuna watu wanaamini kabisa kuwa mfumo huo uliwekwa na Nyerere! wakati wewe unasema wakati wa Nyerere tuliishi bila udini.

Kuna watu wanaamini adui yao ni ukristo,wengine wanaamini adui yao ni uislam unaokumbatia ughaidi! Kwa watumishi wa serikali wanaogopa hata kutaja majina yao ya kwanza kwa kuogopa wasije wakajulikana dini zao na kwahiyo wakapata madhara!

Mkuu wangu Mkandara, naamini kuna kila sababu kwa taifa kukaa na kuitisha mjadala wa ufafanuzi wa nini maana ya mfumo kristo na namna ya kuuvunja mfumo huu baada ya kupata muafaka na makubaliano ya maana halisi ya mfumo kristo kama kweli upo.
 
Kama na haya nayo unayaita maono basi yatakuwa ya mpiga ramli na bao; bado umetingwa na kiza kikali; Mkuu fanya uchambuzi yakinifu kabla hujaandika kitu; unajaribu kukimbia huwezi kushindana na ukweli hata siku moja; nina uhakika wadau wengi waliochangia wamekufungua macho; hapa hakuna malumbano ni mjadala wa elimu dunia usikimbie endelea kuelimika ili kesho usirudie makosa; tuonyeshe ni wapi tumetoka nje ya mada ili turudi kwenye mstari.

Chama
Gongo la mboto DSM

Nafurahi sana kusikia maneno ya kujifariji "eti kakimbia mjadala". Naweza kukimbia personal attack na character assassination kama mnavyofanya lakini sio hoja za mjadala, nilitegemea hoja za kwenye mjadala ziwe jengefu naza kiungwana na kistaarabu kutoka kwenu huku mki-argue bila ku-shout lakini matokeo yake mnaacha hoja mnaleta vioja na kejeli!

Hahaha naona kabisa ni upotevu wa muda ku-deal na watu msio amini kuwa muuza kahawa wa Lushoto anaweza kuwa na hekima kwenye kiasi kidogo cha maneno yake kuliko mwerevu wa gongo la moto anae vurumisha kejeli kutokea ughaibuni huku akiamini kwenye ramli ambayo ni shirki kwenye dini yake.

Bora niendele kuuza kahawa mkuu, wewe osha wazungu uje unipe mtaji niboreshe biashara yangu ya kahawa. Hahaha.
 
Nafurahi sana kusikia maneno ya kujifariji "eti kakimbia mjadala". Naweza kukimbia personal attack na character assassination kama mnavyofanya lakini sio hoja za mjadala, nilitegemea hoja za kwenye mjadala ziwe jengefu naza kiungwana na kistaarabu kutoka kwenu huku mki-argue bila ku-shout lakini matokeo yake mnaacha hoja mnaleta vioja na kejeli! Hahaha naona kabisa ni upotevu wa muda ku-deal na watu msio amini kuwa muuza kahawa wa Lushoto anaweza kuwa na hekima kwenye kiasi kidogo cha maneno yake kuliko mwerevu wa gongo la moto anae vurumisha kejeli kutokea ughaibuni huku akiamini kwenye ramli ambayo ni shirki kwenye dini yake. Bora niendele kuuza kahawa mkuu, wewe osha wazungu uje unipe mtaji niboreshe biashara yangu ya kahawa. Hahaha.

Mkuu maneno yamekuingia kama ni kupoteza muda usingerudi kujibu mapigo; huna unalolijua kwenye dini ongea mengine usije ukafanya tukaingia kufru za bure; ahaa mkuu hata wewe ukitaka kuoshwa tutakuosha hatuoni tatizo kabisa.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Nadhani hujamuelewa Mtoi; amedai haoni tatizo liliopo liwe ni mfumo kristo kama unavyodaiwa au mfumo wa ukandamizaji; cha kushangaza amekuja mawazo ya kurekebisha mfumo ambao hauna tatizo; yeye haoni tatizo la mfumo mzima kwa sababu lengo lake kuu ni kutaka kuishutumu CCM; ushauri ni serikali kuvunja MoU na taasisi zote za kidini hapo ni pa kuanzia tu.

Chama
Gongo la mboto DSM

lakini bana chama mi sidhani kama hoja zako zina mashiko maana hazina nguzo inayozishikilia ili ziwe thabiti na imara naona ni hoja zinazombwelambwela tu kwa kukosa mwimo. tafakari kisha uchukue hatua ya mabadiliko
 
lakini bana chama mi sidhani kama hoja zako zina mashiko maana hazina nguzo inayozishikilia ili ziwe thabiti na imara naona ni hoja zinazombwelambwela tu kwa kukosa mwimo. tafakari kisha uchukue hatua ya mabadiliko

Mkuu hamchoki kubadili ID? Hii ni post yako ya 19 umesoma hoja zangu ngapi ukaona hazina mshiko? Kwa maana hiyo wewe sio mpya ndani ya JF kama unavyotaka tuamini hii inaashiria somo mnalopata kutoka kwa Ritz, Mkandara, Chama na wengineo linawaingia akilini vinginevyo msingekuwa mnakimbilia kubadili ID; kutoka vichwa vyenu vilivyokuwa hafifu kinachobadilika ni ID tu lakini maoni ni yaleyale ya mgando!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu nakuunga mkono. Namuomba MM nimpatie DVD ambayo ina mjadala mzima wa mfumo kristo ulivyo na unavyofanya kazi katika nchi hii.

Ni kweli mambo mengine ni matatizo yetu wenyewe waislamu "we have to change"

Well said mkuu...

Mkuu.
Hongera! Kitendo cha kukiri kuwa tuna matatizo hiyo ni hatua kubwa sana ya kuelekea kwenye mafanikio maana tutatatua matatizo yanayo tukabiri halafu tuendelee. Jamaa zetu wengine hawaamini kuwa tuna matatizo mahali wao ni ubishi tu kutumiana copy za kutafuta support.

Tukifanikiwa kung'oa buyu la bakwata na kupata watu wenye uchungu naamini mengine mengine yote yanawezekana.
 
Mkuu chama,
Makamanda wamekimbia hoja naona sasa wameamua kuja na Multiple ID's, jamaa wa Bumbuli na form six yake naye kapoteza muelekeo kaamua kuja na mipasho.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nimefurahishwa sana na maoni ambayo yanatoka ndani ya waislamu wenyewe.
Mimi binafsi nimekuwa nahesabu uislamu ni dini ya fujo kwa sababu ya msululu wa matukio mengi ya fujo waliyoyatenda.
1. Kwa miaka mingi sasa wamekuwa wakichima makanisa ila wakristo wametulia tu sio kwasababu ni wajinga ila ni kwasababu ya kupenda amani na utulivu wa nchi yetu japo wana nguvu kubwa na suport kubwa hata kutoka nchi zenye nguvu kiuchumi.
2.wapi umewahi kusikia wakristo wanaandamana kwasababu ya kudai japo fulani.
3.lini umesikia wakristo wanachoma misikiti
4. Ni wakati gani umesona wakristo wanaandanamana kutaka kwenda ikulu na kutaka kumfanya kikwete kama babu yao.
5.ni wapi umeona mkristo anavunja na kuiba mali za msikiti kwasababu ya biblia imechomwa au imekojolewa ?
6.ni lini wakristo wameletewa maaskari kwa sababu wamegoma kuhesabiwa wakati wa sensa.
7. Ni wapi wakristo wametaka kuwa na mahakama yao kwasababu ya kutaka dini yao iwe na nguvu kuliki serikali.
8. Ni lini wakristo wameanzisha jumuiya kama ya uamsho yenye mlengo wa kisiasa na kuendelea kuwaumiza raia wa kawaida kwa kuwankosesha amani na kushindwa kufanya shughuli zao za kujiingizia kipato.

Ustaarabu wa wakristo ni huu hapa.
1.wakitukanwa na kuchomewa makanisa wao wanatulia na kuendelea kuwapenda ndugu zao waislamu.
2.wanaamini neno la mungu linatakiwa liwekwe moyoni mwa mtu na sio kwenye kitabu kinachoweza kuharibika wakati wowote .
3.wanajua kuwa amani ya kweli imo ndani ya yesu kristo maana yeye ameitwa mfalme wa amani.
4.wanajua kuwa kulinda moyo wake ni jambo la muhimu zaidi kuliko kulinda dini ambayo mtu ukifa utaiacha ila myoyo utakuwa accountable on judgement day.

Sio siri waislamu wameifanya nchi hii iwe na sifa mbaya katika mataifa mengine .na imefika wakati sasa kwa wale vijana ambao wamesoma na wamekuwa na uelewa mpana na wastaarabu waige yale wanayofanya wakristo ili tuweze kupata maendeleo mapema kuliko kuendelea kuongelea udini katika nchi iambayo katiba yake inasema haina dini ila watu wake wana uhuru wa kuabudu dini yeyote wanayotaka.
Hitimisho.
1.waislamu waoneshe usataarabu wao kwa vitendo sio kwa kuishia kukariri tu msaafu halafu hawafikiriileo wanakula nini na wanasomeshaje watoto wao.
2. Na mwisho kabisaha watambue kuwa hawana mamlaka ya kumhukumu mtu ila yesu pekee amepewa mamlaka na mungu ya kuhukumu watu wote wa mataifa,dini zote siku hiyo ikifika kwahiyo ni heri wenye macho wamfuate huyo maana yeye ni mfalme wa amani.


Huo ustaarabu ni upi unaotajwa kwenye dini ya kiislamu

imekaa vema.
 
Hapa tayari umechemsha mkuu wangu..Hakuna unafuu wowote unawapata wananchi ktk huduma za ELIMU au AFYA unapokwenda shule au Hospital ya kanisa ilogharamiwa na serikali. Hilo kwanza Pili hakuna sheria wala uhalali wa kuwepo Ubia baina ya serikalin na kanisa.. hakuna kikatiba haya mengine unatafuta sababu zako wewe nje ya mwongozo wetu wa kitaifa.

Pili, haihitaji phd kufahamu ya kwamba hata Ulaya kwenyewe shule za makanisa ni Private kama kuna ruzuku inatolewa inatolewa kwa Hospital zote zilizopewa kibali cha kuwa Hospital pasipo Ubaguzi. Nchi yetu haina dini hivyo shirikisho lolote na kiimani ktk utawala wetu unaleta mgogoro wa Kidini na hivyo hao Masheikh nimewasikia na kuwaelewa.

Angalia basi, waislaam wanaona ubaya wa serikali kushirikiana na Bakwata chombo cha dini kueneza siasa. Wameona kwamba Bwakata imetoka kuwa daraja baina ya serikali na Waislaam kimekuwa chombo cha kisiasa kama ilivyo UWT na wanataka kivunjwe, iweje nuyie mnashindwa kuelewa hili.. nani aliye zibrand hizo Hospital kuwa za wilaya kama sio CSSC. Mkuu wangu with 90 billioni hata chukulia billioni 50 kwa mwaka kwa miaka 20 unaweza kujenga kitu chochote tulichokitaka Tanzania hii. Usinambie haiwezekani isipokuwa wachungaji wana uchungu sana na fedha zetu au mafanikio yetu.

It's very simple kazi ya dini ni kueneza neno la Mungu - Period. Uislaam hauendi nje ya Kuruan ilivyofundisha lakini Ukristu wao wameitumia dini hata kufanya biashara zao kutoa huduma ambazo sii mafundisho ya Yesu wala hayapo ktk Biblia. Sipendi kwenda deep ktk swala hili lakini nitakwambia tu hizi ndio sababu ilonifanya mimi nichague Uislaam kwa sababu na deal na Mungu tu. Ufalme wa hapa Duniani ni utawala ambao hauna malipo ya Akhera isipokuwa kwa mema niloyafanya.

Muwe mabillionea kama Wayahudi, muwabeze waislaam kwa Umaskini wao lakini kiimani sisi tunaambiwa mwenye daraja kubwa mbele ya Mola ni yule alomcha Mwenyezi Mungu sio Utajiri wenu hapa duniani kwa biashara za huduma. Hizi ni biashara za watu walizitunga wao kwutokana na uhaba wetu na hivyo kujitengenezea mabillioni ya fedha. hao kina Carl Peters, Vasco da Gamma, Christopher Columbus na ma explorers (wafanyabiashara) wengine walizunguka dunia nzima kutafuta utajiri na chombo walichokitumia ilikuwa dini ili kuingia mjini na kutoa huduma maana watawala wetu hawakuwa na elimu hiyo..

Leo hii tupo huru, tuwaelimishe watoto wetu kwa nia ya kuijenga nchi yetu na sio kutumia mfumo ambao kwa miaka karibu 200 wametuacha na wasomi wasiofika 10. Unataka kunambia hawa wachungaji wa leo wana uchungu zaidi ya wale waliotangulia na kututawala kwa miaka 200. Shule na Hospital za watu au asasi ziwe Private na zijitegemee mtaji na kama kuna ruzuku basi itolewe kwa shule/Hospital zote nchini zilizojiandikisha na kutambuliwa.
Hivi kama mkifanikiwa kuivunja BAKWATA, mmeshaandaa mapendekezo ya kuunda chombo cha aina gani mnachotaka? Maana kwa maelezo yako naona unataka BAKWATA iwe taasisi inayohusisha mambo ya dini(kiroho) tu ya kiislam lakini nikiangalia michango ya wenzako kwenye threads nyingine wanaona waunde taasisi itakayosimamia si tu mambo ya dini, bali hata mambo mengine kama shule, hospitali nk.
 
Mkuu chama,
Makamanda wamekimbia hoja naona sasa wameamua kuja na Multiple ID's, jamaa wa Bumbuli na form six yake naye kapoteza muelekeo kaamua kuja na mipasho.

Mkuu Ritz;
Jamaa wa Bumbuli kapata elimu hatarudia kuongea asivyovijua; kaishiwa na hoja ameanza mipasho halafu anadai eti yeye ni mstaarabu na ana hekima nashukuru amepata darsa la nguvu aliingia kwenye anga ambazo hazijui.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Wakuu;
Ritz; Mkandara, Mohamedi Mtoi, Sikonge, Barubaru; Ashaa Dii, Jasusi na wote mlioshiriki mjadala huu nawatakia Idd njema, leo siku muhimu na maalum kwetu Waislamu nawatakia Idd njema; mwenyezi Mungu atupe afya njema; atupe imani; awarehemu ndugu zetu waliotutangulia mbele ya haki; hatuna cha kuwapa marehemu wetu zaidi ya dua.

Wabillah Tawfiq
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hivi kama mkifanikiwa kuivunja BAKWATA, mmeshaandaa mapendekezo ya kuunda chombo cha aina gani mnachotaka? Maana kwa maelezo yako naona unataka BAKWATA iwe taasisi inayohusisha mambo ya dini(kiroho) tu ya kiislam lakini nikiangalia michango ya wenzako kwenye threads nyingine wanaona waunde taasisi itakayosimamia si tu mambo ya dini, bali hata mambo mengine kama shule, hospitali nk.
Mkuu wangu tunachotaka kufanya wewe kinakuhusu vipi? Ni waislaam wanaotaka Bakwata ivunjwe kutokana na kwamba kazi iliyoasisiwa haipo tena kama ilivyokuwa wakati wa mwalimu.

Hao wanaotaka taasisi nyingine itakayo shughulikia maswala ya dini na mengine ndivyo waklivyotegemea Bakwata ingeyafanya sasa unaunda chombo kingine ili kuwawezesha zaidi kuwaibia waislaam au? Shule na Hospital ni kazi ya serikali kutokana na kwamba vita yetu kubwa ni UMASKINI, UJINGA na MARADHI hivyo nje ya uwezo wake ni kuandika policies zinazowawezesha wawekezaji kutoa huduma hivyo kwa urahisi zaidi. Utafungua wewe, mimi, na wengineo kama biashara na makanisa na misikiti itatoa elimu za dini na ka watajikita ktk kutoa huduma hizi kwa sadaka na michango ya watu kama NGOs basi ziwe bure kama NGOs nyinginezo zinavyofanya na serikali itawapa ruzuku..
 
Wakuu;
Ritz; Mkandara, Mohamedi Mtoi, Sikonge, Barubaru; Ashaa Dii, Jasusi na wote mlioshiriki mjadala huu nawatakia Idd njema, leo siku muhimu na maalum kwetu Waislamu nawatakia Idd njema; mwenyezi Mungu atupe afya njema; atupe imani; awarehemu ndugu zetu waliotutangulia mbele ya haki; hatuna cha kuwapa marehemu wetu zaidi ya dua.

Wabillah Tawfiq
Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu wangu chama,
Nashukuru sana nawe pia EID njema mie saizi najiandaa kuchinja Mbuzi wawili na Kondoo kwa ajili ya kugawa nyama kwa watu wasiojiweza nao wafurahie EID.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu;
Ritz; Mkandara, Mohamedi Mtoi, Sikonge, Barubaru; Ashaa Dii, Jasusi na wote mlioshiriki mjadala huu nawatakia Idd njema, leo siku muhimu na maalum kwetu Waislamu nawatakia Idd njema; mwenyezi Mungu atupe afya njema; atupe imani; awarehemu ndugu zetu waliotutangulia mbele ya haki; hatuna cha kuwapa marehemu wetu zaidi ya dua.

Wabillah Tawfiq
Chama
Gongo la mboto DSM

Mwenyezi Mungu awaafikishe wote kwenye mambo ya kheri aliyoyaridhia na atulinde sote kwa pamoja dhidi ya ghadhabu zake na adhabu zake. Eee mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad na watu wa Muhammad kama ulivyo mrehemu Ibrahim na watu wa Ibrahim kwenye ulimwengu.

Tujalie na utupe hekima na busara tunapojadili mambo yanayotuhusu, hata kama kutakuwa na kukubaliana kutokukubaliana basi iwe kwa njia za kheri na zenye kukupendeza.

Nayasema haya nikiamini katika karma ya Laah ilaah hailah laah, Muhammad rasul laah.

Eid njema wote, Inshaallaah.
 
Bakwata ilianzishwa baada ya kuvunjwa kwa EAMWS, ambayo ilikuwa na wasomi na ilikuwa na mafanikio makubwa sana. Ikiwa dhana kwamba BAKWATA ilianzishwa rasmi na serikali ya st. Nyerere tena kwa malengo maalumu basi kupigania bakwata kuwa chombo huru ni kupigana na serikali tukufu.

Ni hayo ti Idd njema.
 
Bakwata ilianzishwa baada ya kuvunjwa kwa EAMWS, ambayo ilikuwa na wasomi na ilikuwa na mafanikio makubwa sana. Ikiwa dhana kwamba BAKWATA ilianzishwa rasmi na serikali ya st. Nyerere tena kwa malengo maalumu basi kupigania bakwata kuwa chombo huru ni kupigana na serikali tukufu.

Ni hayo ti Idd njema.

Hata Azimio la Arusha lilianzishwa na Nyerere, liko wapi sasa? Na lilizikwa chini ya utawala wa nani?
 
Wakuu;
Ritz; Mkandara, Mohamedi Mtoi, Sikonge, Barubaru; Ashaa Dii, Jasusi na wote mlioshiriki mjadala huu nawatakia Idd njema, leo siku muhimu na maalum kwetu Waislamu nawatakia Idd njema; mwenyezi Mungu atupe afya njema; atupe imani; awarehemu ndugu zetu waliotutangulia mbele ya haki; hatuna cha kuwapa marehemu wetu zaidi ya dua.

Wabillah Tawfiq
Chama
Gongo la mboto DSM
Nami nakutakia Idd Njema. Lakini tukumbuke kudumisha amani ndipo tutaweza kuzifaidi hizo uziitazo siku muhimu. Hakuna siku muhimu penye shari. Ukianguka unaangalia pale ulipojikwaa sio ulipoangukia. Tuhimizane kujenga shule na watoto wote wasomeshwe. Nilisikitishwa na mtoto wa kike, umri miaka 14, huko Pakistani kupigwa risasi eti sababu ya harakati zake za kutaka watoto wa kike wapelekwe shule kupata elimu. Nawaomba Waislamu wa TZ waache malumbano yasiyo na Tija. Wapeleke watoto wote shule na kwa bidii wajenge shule na Hospitali kisha waiabie Serikali ili waingie nayo MoU. Kulalama hakutoshi wakati Hospitali hizo zinatibu watu wote. Tuachane na uwongo kuwa kazi ya dini ni kueneza neno la Mungu tu. Si kweli, kwani dini zote zinafundisha watu wote kumjua Mungu na kuitengeneza dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi na kumwabudu Mungu.
Wabillah Tawfiq.
Pat john.
 
Mkuu wangu tunachotaka kufanya wewe kinakuhusu vipi? Ni waislaam wanaotaka Bakwata ivunjwe kutokana na kwamba kazi iliyoasisiwa haipo tena kama ilivyokuwa wakati wa mwalimu.

Hao wanaotaka taasisi nyingine itakayo shughulikia maswala ya dini na mengine ndivyo waklivyotegemea Bakwata ingeyafanya sasa unaunda chombo kingine ili kuwawezesha zaidi kuwaibia waislaam au? Shule na Hospital ni kazi ya serikali kutokana na kwamba vita yetu kubwa ni UMASKINI, UJINGA na MARADHI hivyo nje ya uwezo wake ni kuandika policies zinazowawezesha wawekezaji kutoa huduma hivyo kwa urahisi zaidi. Utafungua wewe, mimi, na wengineo kama biashara na makanisa na misikiti itatoa elimu za dini na ka watajikita ktk kutoa huduma hizi kwa sadaka na michango ya watu kama NGOs basi ziwe bure kama NGOs nyinginezo zinavyofanya na serikali itawapa ruzuku..

Kuwaibia waislam?
Nani mwizi wa waislam? Je ni Wakristo? MoU? serkali? Ukweli ni kwamba jukumu la kutoa huduma kwa raia wote bila kujali tofauti zao za dini, sura, rangi, kabila nk ni la serkali na Serkali haina interest na udini wa mtu wala hai encourage raia wagawanyike kwa misingi hiyo bali inahimiza mshikano na umoja wa kitaifa.

Tatizo tulilo nalo hivi sasa ni sehemu moja ya jamii (waislam) kujibagua na kusita kuwa sehemu ya jamii ya watanzania na kujiona sehemu ya jamii ya umma wa kiislam duniani, hii inawafanya waislam wawe wasaliti wa watanzania wenzao wasio waislam kwa kuwathamini na kuwaendekeza waislam hata wa nchi zingine dhidi yao, jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa raia na ni kitendo cha uhaini yaani mtanzania kushirikiana na raia wa nchi zingine dhidi ya watanzania wenzake.

Tatizo la kujibagua hiliishii tu kusababisha vitendo vya kihaini na uvunjifu wa amani bali pia vinasababisha malalamiko na migogoro isiyo isha ndani ya jamii na kukwamisha juhudi za serkali za kuleta maendeleo na huduma, mfano serkali haina mashule na hospitali ya kutosha, inaingia mkataba na taasisi zenye facilities hizo ili serkali izitumie kuwafikishia huduma raia wake, katika mkataba huo serkali kama mteja lazima ilipe gharama kitendo ambacho ni tatizo kwa waislam kwa sababu gharama hizo zinalipwa kwenye mfuko wa wasio waislam ambao ndo wamilki wa facilities

Zamani kidogo mwl nyerere yeye aliamua kuzichukua facilities hizo na kuzifanya mali ya serkali ili kuiwezesha serkali yake kuendesha na kusimamia moja kwa moja utoaji huduma kwenye hizo taasisi. lakini utawala ulipo badilika na mwislam akawa raisi, mabadiliko yalifanywa kwa kuleta azimio la zanzibar na kuondoa lile la arusha, shule na hospitali zilirudi kwa wenye nazo, sasa serkali ilibidi iendelee kutumia huduma hizo kwa ajili ya raia wake na kulikuwa na options mbili, kwamba serkali iwalipie sehemu ya gharama raia wake wanaopata huduma kwenye facilities hizo (cost sharing) au serkali iache raia wenyewe wajilipie full cost. nadhani serkali ilichukua option ya kwanza ya cost sharing

Kwa wale wenye wivu na chuki dhidi ya kanisa na wanapinga MoU nadhani ni vyema waelekeze mashambulio yao serkalini na siyo kwenye kanisa maana ni serkali (mteja) ndo inayo nunua huduma kutoka kwa mmilki (kanisa). Kanisa halikujenga mahospitali na mashule ili kuiuzia serkali huduma hizo, nope! walizijenga wa ajili ya matumizi ya kanisa na kueneza injili ya Yesu Kristo Mfalme! Serkali kama mteja ina haki ya kununua au kutonunua hizo huduma.

Mwisho napenda kusisitiza kuwa huduma za kanisa la Yesu Kristo zitaendelea hadi mwisho wa nyakati pawepo au pasiwepo MoU na si kwa Tanganyika tu bali Afrika na dunia nzima. Hata ndani ya nchi zile ambazo uislam ume take over serkali na kutawala mfano somalia, saudi, turkey, misri, afighanistan, pakistan, nigeria, sudan nk bado kanisa la Yesu linatumia ufinyo wa nafasi yoyote inayopatikana katika nchi hizo na kutoa huduma.

"He came so that they may have life and have it more abundantly"
 
Kuwaibia waislam?
Nani mwizi wa waislam? Je ni Wakristo? MoU? serkali? Ukweli ni kwamba jukumu la kutoa huduma kwa raia wote bila kujali tofauti zao za dini, sura, rangi, kabila nk ni la serkali na Serkali haina interest na udini wa mtu wala hai encourage raia wagawanyike kwa misingi hiyo bali inahimiza mshikano na umoja wa kitaifa.

Tatizo tulilo nalo hivi sasa ni sehemu moja ya jamii (waislam) kujibagua na kusita kuwa sehemu ya jamii ya watanzania na kujiona sehemu ya jamii ya umma wa kiislam duniani, hii inawafanya waislam wawe wasaliti wa watanzania wenzao wasio waislam kwa kuwathamini na kuwaendekeza waislam hata wa nchi zingine dhidi yao, jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa raia na ni kitendo cha uhaini yaani mtanzania kushirikiana na raia wa nchi zingine dhidi ya watanzania wenzake.

Tatizo la kujibagua hiliishii tu kusababisha vitendo vya kihaini na uvunjifu wa amani bali pia vinasababisha malalamiko na migogoro isiyo isha ndani ya jamii na kukwamisha juhudi za serkali za kuleta maendeleo na huduma, mfano serkali haina mashule na hospitali ya kutosha, inaingia mkataba na taasisi zenye facilities hizo ili serkali izitumie kuwafikishia huduma raia wake, katika mkataba huo serkali kama mteja lazima ilipe gharama kitendo ambacho ni tatizo kwa waislam kwa sababu gharama hizo zinalipwa kwenye mfuko wa wasio waislam ambao ndo wamilki wa facilities

Zamani kidogo mwl nyerere yeye aliamua kuzichukua facilities hizo na kuzifanya mali ya serkali ili kuiwezesha serkali yake kuendesha na kusimamia moja kwa moja utoaji huduma kwenye hizo taasisi. lakini utawala ulipo badilika na mwislam akawa raisi, mabadiliko yalifanywa kwa kuleta azimio la zanzibar na kuondoa lile la arusha, shule na hospitali zilirudi kwa wenye nazo, sasa serkali ilibidi iendelee kutumia huduma hizo kwa ajili ya raia wake na kulikuwa na options mbili, kwamba serkali iwalipie sehemu ya gharama raia wake wanaopata huduma kwenye facilities hizo (cost sharing) au serkali iache raia wenyewe wajilipie full cost. nadhani serkali ilichukua option ya kwanza ya cost sharing

Kwa wale wenye wivu na chuki dhidi ya kanisa na wanapinga MoU nadhani ni vyema waelekeze mashambulio yao serkalini na siyo kwenye kanisa maana ni serkali (mteja) ndo inayo nunua huduma kutoka kwa mmilki (kanisa). Kanisa halikujenga mahospitali na mashule ili kuiuzia serkali huduma hizo, nope! walizijenga wa ajili ya matumizi ya kanisa na kueneza injili ya Yesu Kristo Mfalme! Serkali kama mteja ina haki ya kununua au kutonunua hizo huduma.

Mwisho napenda kusisitiza kuwa huduma za kanisa la Yesu Kristo zitaendelea hadi mwisho wa nyakati pawepo au pasiwepo MoU na si kwa Tanganyika tu bali Afrika na dunia nzima. Hata ndani ya nchi zile ambazo uislam ume take over serkali na kutawala mfano somalia, saudi, turkey, misri, afighanistan, pakistan, nigeria, sudan nk bado kanisa la Yesu linatumia ufinyo wa nafasi yoyote inayopatikana katika nchi hizo na kutoa huduma.

"He came so that they may have life and have it more abundantly"
Ni vigumu sana kujadili na watu wasioweza kusoma na kuchanganua wenyewe. Soma vizuri kisha jenga hoja..
 
Mjadala huu umenikumbusha JF ya miaka 2 nyuma ambapo wanajamvi walichangia kwa msingi wa hoja.Hongera sana wachangiaji wote wa mada hii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom