Hawa ndio mabinti wa karne.

DEVINE

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
536
86
Inasemekana..mabint wa miaka ya 1960 walikua wakisema hv "LOV ME BUT DONT TOUCH ME"na wa miaka ya 1970 walikua waksema "TOUCH ME BUT DÖNT KISS ME" na miaka ya 1980 "KISS ME BUT DONT DO ANYTHING"miaka ya 1990 "DO EVERYTHINGBUT DONT TEL ANYONE" wakat mabint wa miaka ya 2000 wametoa kali kuliko wanasema "DO EVERYTHINGOTHERWISE I WIL TELL EVERYBODY DAT U KNOW NOTHING"
assume baada ya miaka 20 watasemaje.
 
after 20 itakuwa hakuna tena chakufanya maana vyote vimefanyika kwenye 20s
 
watasema sio huko bwana ni huku kilimo kwanza ww vp hujui nini?
je wanaume wa miaka hiyo walisemaje na wanasemaje?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom