DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
Inasemekana..mabint wa miaka ya 1960 walikua wakisema hv "LOV ME BUT DONT TOUCH ME"na wa miaka ya 1970 walikua waksema "TOUCH ME BUT DÖNT KISS ME" na miaka ya 1980 "KISS ME BUT DONT DO ANYTHING"miaka ya 1990 "DO EVERYTHINGBUT DONT TEL ANYONE" wakat mabint wa miaka ya 2000 wametoa kali kuliko wanasema "DO EVERYTHINGOTHERWISE I WIL TELL EVERYBODY DAT U KNOW NOTHING"
assume baada ya miaka 20 watasemaje.
assume baada ya miaka 20 watasemaje.