Hawa mbuzi wanashangaza sana!!

Hawa mbuzi wanashangaza sana!!

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
15,126
Reaction score
35,506
Wanawezaje kupanda juu hivi huku wakiwa wamerelax kabisa?

Wanawazidi hata tumbili[emoji205]
IMG_20220505_192558.jpg
IMG_20220505_192524.jpg
IMG_20220505_192447.jpg
 
Wanawezaje kupanda juu hivi huku wakiwa wamerelax kabisa?

Wanawazidi hata tumbili[emoji205]
View attachment 2212900View attachment 2212901View attachment 2212903


Ipo hivi; Akili na maumbile katika mazingira husika ndio hujenga hofu au kujiamini kwa binadamu, mnyama hana akili kama ya binadamu na maumbile yake katika mazingira hayo yanam favour asiwe na hofu,---- hao mbuzi hawana akili/uwezo wa kukadiria huo umbali kutoka juu hadi chini, ni binadamu tu ndiye mwenye huo uwezo.
 
Ipo hivi; Akili na maumbile katika mazingira husika ndio hujenga hofu au kujiamini kwa binadamu, mnyama hana akili kama ya binadamu na maumbile yake katika mazingira hayo yanam favour asiwe na hofu,---- hao mbuzi hawana akili/uwezo wa kukadiria huo umbali kutoka juu hadi chini, ni binadamu tu ndiye mwenye huo uwezo.
Kama unafikiri mbuzi hana akili mweke kwenye ghorofa ya nne ambayo haina guard afu uone kama atajitupa chini kwa kuruka au atatelemka na ngazi 🤣🤣🤣🤣 au mfungie kwenye banda lenye plate moja kiepe yai na nyingne makande uone utakuta plate ipi iko waz........



Wanaakili sana wale mpaka kucheka wanacheka na umbea juu (wanaongozwa na silika ....instinct)
 
Ipo hivi; Akili na maumbile katika mazingira husika ndio hujenga hofu au kujiamini kwa binadamu, mnyama hana akili kama ya binadamu na maumbile yake katika mazingira hayo yanam favour asiwe na hofu,---- hao mbuzi hawana akili/uwezo wa kukadiria huo umbali kutoka juu hadi chini, ni binadamu tu ndiye mwenye huo uwezo.
Unamaanisha mpaka anapanda hapo hajui kwamba yuko juu na ni hatari huko?
 
Kama unafikiri mbuzi hana akili mweke kwenye ghorofa ya nne ambayo haina guard afu uone kama atajitupa chini kwa kuruka au atatelemka na ngazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mfungie kwenye banda lenye plate moja kiepe yai na nyingne makande uone utakuta plate ipi iko waz........



Wanaakili sana wale mpaka kucheka wanacheka na umbea juu (wanaongozwa na silika ....instinct)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom