Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,956
Kama nimekuelewa unamaanisha mnyama hana hofu,au hana uwezo wa kujua hiki ni hatari,kwanini akiona mnyama hatari anakimbia?
Anakimbia kwasababu anaendeshwa na NATURAL TENDENCY kwamba jambo fulani ni hatari hiyo sio akili, mwenye akili ni binadamu tu na sio wanyama---- ni sawa na maji ukiyamwaga chini yatatiririka kuelekea chini hiyo ni natural tendency yake wala huwezi kusema eti maji yanayo akili ndio maana yanatiririka kuelekea chini mabondeni kujaza mito, mabwawa na maziwa.
Natural tendency kwa wanyama ndio instincts /silika.