Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,422
Aibu.. Gasia hawa "escrow scandal " ilikuwa aibu alipochangia.....hata darasa la saba aliyesoma vizuri hawezi ongea pumba vile... Aibu...aibu..anamwambia deo kuwa hafai kuwa mwenyekiti wa pac, hata hilo la kujua kuwa deo si mwenyekiti wa pac bali kaimu yeye alitambui..... Ebu cv yake huyu mama mtujuze....