G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,879
Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya serikali ya Jakaya Mrisho Kikwete!
Ndani ya serikali ya rais Kikwete yumo waziri wa 'TAMISEMI' bi Hawa Ghasia!
Nilikuwa simfahamu vizuri huyu waziri kutokana na ukimya wake bungeni na maswali mengi amekuwa akijibu naibu wake ndugu Mwanri.
Juzi kwenye sakata la IPTL/PAP nilibahatika kumsikia akichangia! Kwa kweli nilijisikia aibu sana kuwa na waziri anayeongoza wizara nyeti ya serikali za mitaa wa aina ile!
Kwa kweli kichwani ni mweupe! hatumii akili hata kidogo! hana data na ni mtu anayeonesha dhahiri siyo mfuatiliaji wa mambo! anaongea huku akiwa hajui aongealo! huyu ni waziri! Waziri asiyejishughulisha! Nimejiuliza sana huo uwaziri kaupataje na ni vipi anamudu kazi! Jibu analo Kikwete!
Chondechonde rais Kikwete kwenye mabadiliko yajayo ya baraza la mawaziri usimrudishe huyu mama. Hafai kutumikia watu kwani ni mvivu wa kutumia akili!
Ndani ya serikali ya rais Kikwete yumo waziri wa 'TAMISEMI' bi Hawa Ghasia!
Nilikuwa simfahamu vizuri huyu waziri kutokana na ukimya wake bungeni na maswali mengi amekuwa akijibu naibu wake ndugu Mwanri.
Juzi kwenye sakata la IPTL/PAP nilibahatika kumsikia akichangia! Kwa kweli nilijisikia aibu sana kuwa na waziri anayeongoza wizara nyeti ya serikali za mitaa wa aina ile!
Kwa kweli kichwani ni mweupe! hatumii akili hata kidogo! hana data na ni mtu anayeonesha dhahiri siyo mfuatiliaji wa mambo! anaongea huku akiwa hajui aongealo! huyu ni waziri! Waziri asiyejishughulisha! Nimejiuliza sana huo uwaziri kaupataje na ni vipi anamudu kazi! Jibu analo Kikwete!
Chondechonde rais Kikwete kwenye mabadiliko yajayo ya baraza la mawaziri usimrudishe huyu mama. Hafai kutumikia watu kwani ni mvivu wa kutumia akili!