inasemekana kuwa CRDB BANK ndio benki yenye mtaji mkubwa kuliko benki zote za kitanzania (1...BILLION USD) cha kushangaza ndio benki yenye network mbovu sijawahi ona hapa TZ, kwa mfano mara kadhaa nimekwama kufanya transaction kwenye branch zifuatazo Mikocheni, Mbezi Mwisho, Lumumba, Millenium tower, sasa kiboko ya yote ni kwenye customer care, hao wafanyakazi wanavyojib wanavyotaka wao mpaka mtu unajiuliza hivi hiyo kazi wamelazimishwa au salary ndogo? hakika customer care yao ni ZERO kabisa. hizo ATM zao ikifika ijumaa jion zinaenda kula BATA yaaan utazunguka jiji zima ili utoe hela, sasa najiuliza huyu Dr. KIMEI na team yake hawayaoni haya au ndio ile ya Mteja ni MTUMWA kwao?
CRDB Bank used to be the bank that listens.
CRDB Bank used to be the bank that listens.