hv haya ma ccm yanakuaje jamani? Utakuta kuna shughuli za kiserikali zinafanyika labda uzinduzi wa madarasa nk, pale mambo ya kichama yanakua hayapo tena, ila utayakuta yamevaa me tisht ya kijani na mikofia yao, me nafikiri ushabiki wa kipumbavu tuachane nao.