Hawa CCM hapa Buguruni wanafanya nini?

Hawa CCM hapa Buguruni wanafanya nini?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
10,827
Reaction score
4,184
kuna mahema. viti. jukwaa. muziki(kama kawa).

watu wa kwamnyamani mtujuze.
 
Pilau hamna jingine si unajua huko ndio kwenyewe kwa Bwabwa ndizi.
 
Wameamua kuburudisha watz kwa muziki baada ya kazi ngumu ya kusukuma gurudumu la maisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom