Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,757
- 21,987
Usikasirike Mungu ni tofauti na sisi wanadam, jua kuwa ambalo hajalifunua yeye ni ngumu akili yako kung'amua, wengi walihoji na kumkosoa Mungu karne nyingi zilizopita lakini hawajaturithisha majibu yoyote ya maana kuhusu Mungu. Wanafalsafa wengi walishapita lakini Mungu hachunguziki kamwe!!We
we hatuwezi kudebate, hutaki kuhoji, kwa heri, siko hivyo mimi nakwambia!
God is good!!