Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,090
Angemnunua na viatu, hata vya 5,000![]()
Nimeipenda hii picha
Angemnunua na viatu, hata vya 5,000![]()
Nimeipenda hii picha
Hivi wee kijana unalipwa pesa ngapi kuropoka humu..?!Hao wa bongo ni Fanya Fujo Uone. Mnasubiriwa chadema mulete za kuleta mpate kibano, maana hamna adabu kila kitu mnapinga na kumtukana mpaka rais (isipokuwa Mh. Godbless Lema).
dahWe acha kuchukulia picha moja tu kuhalalisha chuki yako dhidi ya nchi yako, na hawa je, wamepata mafunzo gani?View attachment 358183View attachment 358184
Kufuru hiyoKosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika, kwa maoni yangu!
Siwezi kukufuru! Naangalia the whole of Africa, nakata tamaa kuwa kuna tatizo na ngozi nyeusi-waafrika. Tusingeliumbwa!Kufuru hiyo
Kosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika, kwa maoni yangu!
Kuumbwa ww mweusi sio jambo la kujilaumu kwasababu akili ya mwanadamu ni moja ila tunatofatiana matumizi ya akili, wakumlaumu ww si mungu.. ni mtu mweupe hasa mzungu kukufanya wewe koloni lake, kukufanya ndondocha wa kukudumaza akili na usitafute namna ya kujinusuru.Siwezi kukufuru! Naangalia the whole of Africa, nakata tamaa kuwa kuna tatizo na ngozi nyeusi-waafrika. Tusingeliumbwa!
Wakoloni wameondoka zamani, mbona tunafanya mambo ya ajabu. Bunge zima linakaa na watu waovu, akina jicho la nyoka wanakuwa wenyeviti wa bunge na maovu yote. Muovu kama yule anaongoza kutunga katiba! Na haya ni kwa Africa yote- Angalia Mugabe, Museveni, Nkurunzinza, Zuma etcKuumbwa ww mweusi sio jambo la kujilaumu kwasababu akili ya mwanadamu ni moja ila tunatofatiana matumizi ya akili, wakumlaumu ww si mungu.. ni mtu mweupe hasa mzungu kukufanya wewe koloni lake, kukufanya ndondocha wa kukudumaza akili na usitafute namna ya kujinusuru.
Sawa!labda wewe ndugu yangu, mimi namshukuru na kum enzi MWENYE ENZI MUNGU kila siku kwa kuniumba mwafrica! .... proud to be AFRICAN!
Kwa namna utakavyosema shida iko palepale kuwa weupe walituweza sana.. Utawala tuliokuwa nao sio asilimia 100% kwa hivyo ukoloni mamboleo unaendelea.. kwahivyo tunapogomba au kupigana wao wanafanya yao ya kuchuma rasilimali za africa.Wakoloni wameondoka zamani, mbona tunafanya mambo ya ajabu. Bunge zima linakaa na watu waovu, akina jicho la nyoka wanakuwa wenyeviti wa bunge na maovu yote. Muovu kama yule anaongoza kutunga katiba! Na haya ni kwa Africa yote- Angalia Mugabe, Museveni, Nkurunzinza, Zuma etc
Kwa nini viongozi wetu wasibadilike! Hata hapa wanafanya kujikomba tu sana sana!Kwa namna utakavyosema shida iko palepale kuwa weupe walituweza sana.. Utawala tuliokuwa nao sio asilimia 100% kwa hivyo ukoloni mamboleo unaendelea.. kwahivyo tunapogomba au kupigana wao wanafanya yao ya kuchuma rasilimali za africa.
Kweli mkuu most of them(not all) ni wale waliofanya vibaya sekondari ndio maana wako hivyo.Yani bado tunatumia methods za colonial police za kukandamiza umma jeshi la polisi la sasa na ukoloni tofauti yao ni ss hivi tunakandamizwa na watanzania wenzetu ila jeshi na mbinu ni zile zile za kikoloni kikosi cha FFU kilianzishwa na wakoloni tumepata uhuru bado jina ni lile lile na linatumika kutuliza sauti za wananchi wanapodai haki zao hii nchi mabadiliko yanayotakiwa sio ya kisiasa tu hata taasisi za ulinzi kama hawa polisi zibadilike kimfumo wengi wanaoenda polisi ni waliofeli form 4 na 6 na wale ambao jamii imewatenga unadhani watatetea haki za raia??
Mh? Kutawala na KujitawalaMimi ni mkristo mzuri tu, tena sana . Najiuliza haya mapungufu aliyonayo mwafrika ni ya Mungu? Kama Mungu aliyaweka kwa waafrika, basi alifanya kosa kutuumba na mapungufu haya! Kama ni ya kwetu baada ya kutuumba wakamilifu, basi atuangamize tuipishe dunia!