Hawa askari wamepata mafunzo ya aina moja?

Hawa askari wamepata mafunzo ya aina moja?

Africa bara la giza haki za binadamu awazingatii ata kidogo nikiangalia Zimbabwe watu wanaishi kwa shida kisa mtu mmoja nikigeuza jicho Burundi pale ali ni tete watu wanapigwa risasi kila siku Nikimuangalia Museveni pale ni aibu nenda pale Rwanda huyu anajifanya eti raia wanampenda ameua watu wengi kwa risasi nakumbuka ata yule jamaa aliyefia south Africa Nenda DRC congo Sudan kusini PUMBAVU AFRICA Mungu mpaka leo na mlaumu kuzaliwa afrika
Dah mkuu acha kufuru.. hao weupe tunawalisha sisi waafrika kwa rasilimali zetu za madini na nyinginezo, ndo zinatoa mambo yote ya maendeleo ya teknolojia.. mi nadhani kikwazo cha kupiga hatua kwa nyanja zote kama uongozi bora kilikuwa ukoloni ambao mpaka leo upo..!
 
40145e7d22b03268a6f3bc14902add3b.jpg
467ede65992f4831d3e116d8cbd1dd86.jpg
Notting Hill Carnival kwa raha zao
 
Back
Top Bottom