Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
Yaweza kuwa kuna watu wamekata tamaa na maisha ya kisiasa kwa sababu ya umri mkubwa au wengine wanashindwa kuthubutu kwa sababu ya umri mdogo.
Kijana fuata moyo wako nenda katimize ndoto zako.
Trump aliingia White House ana 70yrs, Obama akatoka na 55yrs, Sanders anataka kuingia na 78yrs.
Kijana fuata moyo wako nenda katimize ndoto zako.
Trump aliingia White House ana 70yrs, Obama akatoka na 55yrs, Sanders anataka kuingia na 78yrs.