Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 396
- 655
Hivi serikali haiwezi kuchukua vijana wetu tukawapeleka china kwenda kujifunza utengenezaji na uundaji wa pikipiki?Hata kwa awamu?
Kwanini nasema hivyo pikipiki zimeshaonekana kuwa ni hijati kubwa kwa nchi yetu katika usafirishaji hasa vijijini.Kuliko sisi kuwa soko miaka yote ni wakati sasa tukaanda ujenzi wa viwanda hata kwa ngazi ya kanda na vijana wetu wakazitengenezea hapa hapa zikauzwa bei nafuu.Na imani pia material nyingi zinapatika hapa hapa nchini na soko lake pia linapatikana hata kwa nchi jirani.Ni wazo TU.
Kwanini nasema hivyo pikipiki zimeshaonekana kuwa ni hijati kubwa kwa nchi yetu katika usafirishaji hasa vijijini.Kuliko sisi kuwa soko miaka yote ni wakati sasa tukaanda ujenzi wa viwanda hata kwa ngazi ya kanda na vijana wetu wakazitengenezea hapa hapa zikauzwa bei nafuu.Na imani pia material nyingi zinapatika hapa hapa nchini na soko lake pia linapatikana hata kwa nchi jirani.Ni wazo TU.