Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,006
- 1,171
Naomba tuangalie Fursa mbalimbali za kiuchumi ambazo unaweza kuzifanyia kazi kwa ajili ya MAUZO ya nje (exports)
Wakuu tunaendelea kuangalia kila Aina ya Fursa kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira na salary au kipato kutokukidhi kwa wale wenye ajira, naona Ni vema tukashirikishana Kila Aina ya Fursa inayoonekana au kupatikana 🤝🤝
Naamini hata kama una Ajira bado Kuna maono yako unayo ya kukuongezea kipato Chako au kuweza kufikia Uhuru wa kiuchumi
Kwa leo ningependa tuangalie bidhaa ambazo ziko ndani ya uwezo wa watanzania walio wengi kuzizalisha na kupata nafasi ya kuziuza nje ,
Pia namna ya kupata soko lake
Kwa wale wenye maono ya kuuza bidhaa nje
Hakuna biashara ndogo Ila kila biashara unaweza kuanza kidogo kidogo mpaka kufikia maono yako
vile vile kwa wale wenye maono ya kufanya biashara l Kuna mahali pa kuanzia kidogo kidogo Hadi kufikia malengo
Kwanza nikiri mchakato wa kuuza Mazao nje unahitaji umakini na uthubutu Ila inabaki kuwa Ni Fursa nzuri
Orodha ya bidhaa zinazozalishwa nje
1.Madini
2.Mazao ya biashara
3.Bidhaa za viwandani
4.Mazao ya uvuvi
5.Mazao ya kilimo bustani bidhaa za kilimo bustani zinazouzwa nje
Mazao ya kilimo bustani yanauzwa nje ya nchi kwa sasa
1.Matunda
2.Mboga mboga
3.Viungo
4.Maua
Katika bidhaa zote zinazozalishwa nje, Mazao ya kilimo bustani ni moja ya bidhaa ambazo uhijataji wake unakua na unaendelea kukua
Kwa hiyo Fursa ya kuzalisha Mazao bustani kwa ajili MAUZO ya nje bado Ni kubwa
Mazao ya bustani yanayowezwa kuzalishwa kwa wingi
1.Matunda Avacado
2.Pilipili Hoho
3.Nyanya nk
Pia Kuna Fursa ya kuanzisha kiwanda Cha kupack Mazao ya bustani ndani badala ya kupack nchi jirani Kama Kenya
Uwezo wetu wa kuzalisha Mazao bustani kwa mwaka
Bado Ni ndogo ukilinganisha na uhitaji wa nje
Uhitaji wa soko la nje Ni mkubwa Sana na unaendelea kuongezeka
Wadau wa kuwezesha kufikia soko la Mazao ya kilimo bustani
Wako wadau wengi wanaowezesha mchakato wa Mazao nje zikiwemo wizara husika
Kila biashara Ni mchakato muhimu Ni maono uthubutu na utayari
Hayo Ni Maoni yangu Karibu
Wakuu tunaendelea kuangalia kila Aina ya Fursa kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira na salary au kipato kutokukidhi kwa wale wenye ajira, naona Ni vema tukashirikishana Kila Aina ya Fursa inayoonekana au kupatikana 🤝🤝
Naamini hata kama una Ajira bado Kuna maono yako unayo ya kukuongezea kipato Chako au kuweza kufikia Uhuru wa kiuchumi
Kwa leo ningependa tuangalie bidhaa ambazo ziko ndani ya uwezo wa watanzania walio wengi kuzizalisha na kupata nafasi ya kuziuza nje ,
Pia namna ya kupata soko lake
Kwa wale wenye maono ya kuuza bidhaa nje
Hakuna biashara ndogo Ila kila biashara unaweza kuanza kidogo kidogo mpaka kufikia maono yako
vile vile kwa wale wenye maono ya kufanya biashara l Kuna mahali pa kuanzia kidogo kidogo Hadi kufikia malengo
Kwanza nikiri mchakato wa kuuza Mazao nje unahitaji umakini na uthubutu Ila inabaki kuwa Ni Fursa nzuri
Orodha ya bidhaa zinazozalishwa nje
1.Madini
2.Mazao ya biashara
3.Bidhaa za viwandani
4.Mazao ya uvuvi
5.Mazao ya kilimo bustani bidhaa za kilimo bustani zinazouzwa nje
Mazao ya kilimo bustani yanauzwa nje ya nchi kwa sasa
1.Matunda
2.Mboga mboga
3.Viungo
4.Maua
Katika bidhaa zote zinazozalishwa nje, Mazao ya kilimo bustani ni moja ya bidhaa ambazo uhijataji wake unakua na unaendelea kukua
Kwa hiyo Fursa ya kuzalisha Mazao bustani kwa ajili MAUZO ya nje bado Ni kubwa
Mazao ya bustani yanayowezwa kuzalishwa kwa wingi
1.Matunda Avacado
2.Pilipili Hoho
3.Nyanya nk
Pia Kuna Fursa ya kuanzisha kiwanda Cha kupack Mazao ya bustani ndani badala ya kupack nchi jirani Kama Kenya
Uwezo wetu wa kuzalisha Mazao bustani kwa mwaka
Bado Ni ndogo ukilinganisha na uhitaji wa nje
Uhitaji wa soko la nje Ni mkubwa Sana na unaendelea kuongezeka
Wadau wa kuwezesha kufikia soko la Mazao ya kilimo bustani
Wako wadau wengi wanaowezesha mchakato wa Mazao nje zikiwemo wizara husika
Kila biashara Ni mchakato muhimu Ni maono uthubutu na utayari
Hayo Ni Maoni yangu Karibu