Jelavic
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 180
- 380
Ukifatilia kwa ukaribu vyama karibu tisa au kumi kati ya 15 vilivyotoa uwakilishi katika uchaguzi huu utagundua havikuwa na itikadi na muelekeo na nia thabiti ya kuongoza nchi, matokeo yake uchaguzi unaisha wote wanakuwa hawana tofauti na kina Waziri Jenister na kina waziri Kabudi wamekua wadogo mbele ya mshindani wao, wameonyesha udhaifu mkubwa sana, hata ukuu wa wilaya hawastahili.
Wengine wanaomba kazi hadharani kabisa, oooh mm bado kijana niko tayati kutumika, mpka unajiuliza au waliingia kwenye kinyang'anyiro ili wapate platform ya kuomba kazi kwa mh rais au vipi.
Hatujaona chama kikubwa kama Republican au Democratic baada ya uchaguzi wananyenyekea hivi kwa aliyeshinda, watu huwa wanatulia wanajipanga wanarudi tena kwa wananchi.
Uchanga wa vyama vyenu isiwe sabab ya kuua au kudhoofisha UPINZANI WA KWELI.
Wengine wanaomba kazi hadharani kabisa, oooh mm bado kijana niko tayati kutumika, mpka unajiuliza au waliingia kwenye kinyang'anyiro ili wapate platform ya kuomba kazi kwa mh rais au vipi.
Hatujaona chama kikubwa kama Republican au Democratic baada ya uchaguzi wananyenyekea hivi kwa aliyeshinda, watu huwa wanatulia wanajipanga wanarudi tena kwa wananchi.
Uchanga wa vyama vyenu isiwe sabab ya kuua au kudhoofisha UPINZANI WA KWELI.