Hatuwezi kupata rais kama JK


hzo ni baadhi ya pesa zako na kiasi kidogo sana ndio kinachokurudia kwa njia ya kipumbavu ambayo ww unaonekana huwezi kugundua.!
 
mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania

Good point kwa sababu umeona kipindi chake cha miaka kumi ameshindwa kuyaleta hayo maisha bora. Waswahili wanasema ashindwae katika kitu kidogo kikubwa atakiwezaje. Mimi naona usimdhalilishe raisi wako maana hata yeye anakushangaa, maana atakuuliza unataka niendelee tena miaka 10 nitaleta mabadiko gani maana nimeshindwa kwenye kipindi changu?
 
The following user Groaned jane_000 for this useless post
genekai (16/02/2012)
 
mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania
Hivi si ndio wewe jane_000 uliyekuwa unatafuta mwanamume mwenye pesa mingi! Hivi ulishampata?
 
mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania

juzi tu ulikuwa unatafuta mhogo hujaupata? Maana naona umekuja huku ukijua ndo kuna mihogo mingi hii mikubwa huiwezi
 
birigita kwanini unachafua hali ya hewa?
 
Mods com' on!!!!!!!!! Hii ni haki kweli? Bora FaizaFoxy afunguliwe ila huyu asulubiwe..... Pls Mods!!!!!!!

Ooh! Masikini FF! Kumbe mmemsurubisha?! Hata hivyo mpigeni BAN na huyu fisadi anayeomba fisadi mwenzie aongezewe muda wa kuishi ikulu........
 
Hawa jamaa na wafuasi wa ccm wanaonekana wavumilivu na wanademokrasia kweli kweli. Maana kama ungesema kwa mfano: "kuchagua chadema au CUF ni kuchagua udikteta" jiandae kusubiri matusi.
 
huoni aibu kuleta uharo wa mama yako hapa jukwaani?

Kama huna mama yako mzazi husitahiri kutamka maneno haya huna adabu kwetu wanawake hakuna njia nyingine ya kumrekebisha mkosaji mpaka utukane akina mama?. Two wrongs can not make one right.
 
Kama ni hawala yako mwambie aendeleze kuku******* kwa hiyo miaka kumi unayosema, wataarifu na familia yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…