Hatuombei yatokee lakini ukweli ndio huo

Hatuombei yatokee lakini ukweli ndio huo

Yule Mwanamama mzazi mja wapo ni mwafrika na mwingine ndio mhindi..

Sio rahisi,Tunisia kuna Rais ana miaka 85 na mambo yanaenda so inategemeana na afya..

Unaweza tangulia wewe ukamuacha.
Sasa huku Lukuvi alipigwa biti sijui tukoje
 
Waliosema Lowasa afya mgogoro wakaenda wao wakamwacha na afya yake ya mgogoro.
Usilolijua….
Mungu aachwe na uungu wake, kazi ya mikono yake haidhihakiwi, madaraka na nafasi zao ziliwafanya wajione wanamkaribia Mungu kumbe sivyo
 
Wanabodi:
Rais wa Marekani Joseph Biden ana umri wa miaka 80
Mgombea Urais Kenya Raila Odinga ana Umri wa Miaka 78
Makamu wa Rais wa Marekani ni Mwanamama
Mgombea Umakamu wa Rais Kenya Ni Mwanamama
Mzee Raila Odinga akishinda Urais Mama Karua anakuwa Makamu

Yakitokea kama yaliyotokea Tanzania tutaona mabadiliko makubwa sana

Taifa lenye nguvu duniani kuongozwa na mwana mama tena wa asili ya Uhindini
Jirani zetu watapata fursa ya kujifunza kwa Tanzania

Na maeneo mengi katika nchi mbali mbali wataulizana tunafanyaje siku nyingine?

Given: Kila mtu ana matamanio yake ila wewe na mimi tuna haki ya kutafakari tu endapo.........
na mimi natafakari tu
Ndugu yangu huko hawana katiba kama hii ya maccm. Rais akifa huko makamo anakaimu kwa mda tu.na Hana mamlaka kamili Uchaguzi unafanyika fasta

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hao Marais wanaume wamefanya nini miaka 60 sasa? Kila ufisadi nchi hii ulifanywa na wanaume.

CCM imechoka hata angewekwa mwanaume ubovu ungeendelea pale pale...
Huu ndo ukweli mchungu kwao. Make hiyo miaka yote ni wanaumme na wizi uko pale. Upigaji wa wanaumme ni kufuru ndugu yangu. Kitu ambacho ccm hawaamini ni kua nchi inahitaji mifumo imara yenye taasisi imara

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli utabaki mchungu Africa kuongozwa na mwanamke ni changamoto sana.
~men(logic)
~women(emotion).
Mimi napingana na wewe kwa sababu 99% ya viongozi wetu wa afrika ni me. Lkn matatizo ndo yanaongezeka kila kukicha na matatizo yako chini ya uongozi wa wanaumme. Hawa wanaumme wameshindwa kuunda mifumo yenye taasisi imara. Kwa hiyo tukubali shida haiko kwa wanawake kuongoza. Iko kwenye viongozi wetu wengi ambao ni wajinga wajinga

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Yaani karua mkikuyu aangushwe na mkalenjin? Siasa za Kenya huzijui wwe.
Waafrika na mfumo dume
Raila hashindi mnajidanganya au mnafikir kupekeka mnengua viuno wa ccm ndo atashinda mount kenya ya wakikuyu iko na ruto pamoja na central ambao ndo wapiga kura wengi halafu useme raila atashinda labda njaa na akishindwa anakufa ba kufa hapohapo.
Naisave hii comment
 
Mimi napingana na wewe kwa sababu 99% ya viongozi wetu wa afrika ni me. Lkn matatizo ndo yanaongezeka kila kukicha na matatizo yako chini ya uongozi wa wanaumme. Hawa wanaumme wameshindwa kuunda mifumo yenye taasisi imara. Kwa hiyo tukubali shida haiko kwa wanawake kuongoza. Iko kwenye viongozi wetu wengi ambao ni wajinga wajinga

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Shida ya afrika sio uongozi shida ni system iliyopo na bado inahitaji wanaume kuhakikisha inasimama,U.S.A pamoja na kuhubiri demogasia na usawa jinsia mbona bado ni madume tu.
system ya u.s ilivyokaa hata wewe ukipewa unaongoza...
 
Wanabodi:
Rais wa Marekani Joseph Biden ana umri wa miaka 80
Mgombea Urais Kenya Raila Odinga ana Umri wa Miaka 78
Makamu wa Rais wa Marekani ni Mwanamama
Mgombea Umakamu wa Rais Kenya Ni Mwanamama
Mzee Raila Odinga akishinda Urais Mama Karua anakuwa Makamu

Yakitokea kama yaliyotokea Tanzania tutaona mabadiliko makubwa sana

Taifa lenye nguvu duniani kuongozwa na mwana mama tena wa asili ya Uhindini
Jirani zetu watapata fursa ya kujifunza kwa Tanzania

Na maeneo mengi katika nchi mbali mbali wataulizana tunafanyaje siku nyingine?

Given: Kila mtu ana matamanio yake ila wewe na mimi tuna haki ya kutafakari tu endapo.........
na mimi natafakari tu
Inawezekana siko sahihi lakini nilichokiona hapo ni kuwa unasumbuliwa na mfumo DUME tu basi.
 
Wanabodi:
Rais wa Marekani Joseph Biden ana umri wa miaka 80
Mgombea Urais Kenya Raila Odinga ana Umri wa Miaka 78
Makamu wa Rais wa Marekani ni Mwanamama
Mgombea Umakamu wa Rais Kenya Ni Mwanamama
Mzee Raila Odinga akishinda Urais Mama Karua anakuwa Makamu

Yakitokea kama yaliyotokea Tanzania tutaona mabadiliko makubwa sana

Taifa lenye nguvu duniani kuongozwa na mwana mama tena wa asili ya Uhindini
Jirani zetu watapata fursa ya kujifunza kwa Tanzania

Na maeneo mengi katika nchi mbali mbali wataulizana tunafanyaje siku nyingine?

Given: Kila mtu ana matamanio yake ila wewe na mimi tuna haki ya kutafakari tu endapo.........
na mimi natafakari tu
Mungu wa Mbinguni awabariki ndugu zetu Kenya wamalize uchaguzi salama.

Kura za wananchi ziheshimiwe, ashindaye Kwa HAKI AAPISHWE.

Roho ya mauti inayowaandama wagombea wa Urais ishindwe Kwa Jina la Yesu.

Ameeeeen.
 
Back
Top Bottom