Wanabodi:
Rais wa Marekani Joseph Biden ana umri wa miaka 80
Mgombea Urais Kenya Raila Odinga ana Umri wa Miaka 78
Makamu wa Rais wa Marekani ni Mwanamama
Mgombea Umakamu wa Rais Kenya Ni Mwanamama
Mzee Raila Odinga akishinda Urais Mama Karua anakuwa Makamu
Yakitokea kama yaliyotokea Tanzania tutaona mabadiliko makubwa sana
Taifa lenye nguvu duniani kuongozwa na mwana mama tena wa asili ya Uhindini
Jirani zetu watapata fursa ya kujifunza kwa Tanzania
Na maeneo mengi katika nchi mbali mbali wataulizana tunafanyaje siku nyingine?
Given: Kila mtu ana matamanio yake ila wewe na mimi tuna haki ya kutafakari tu endapo.........
na mimi natafakari tu
Rais wa Marekani Joseph Biden ana umri wa miaka 80
Mgombea Urais Kenya Raila Odinga ana Umri wa Miaka 78
Makamu wa Rais wa Marekani ni Mwanamama
Mgombea Umakamu wa Rais Kenya Ni Mwanamama
Mzee Raila Odinga akishinda Urais Mama Karua anakuwa Makamu
Yakitokea kama yaliyotokea Tanzania tutaona mabadiliko makubwa sana
Taifa lenye nguvu duniani kuongozwa na mwana mama tena wa asili ya Uhindini
Jirani zetu watapata fursa ya kujifunza kwa Tanzania
Na maeneo mengi katika nchi mbali mbali wataulizana tunafanyaje siku nyingine?
Given: Kila mtu ana matamanio yake ila wewe na mimi tuna haki ya kutafakari tu endapo.........
na mimi natafakari tu