GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,557
Kikosi A
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Kibu Denis
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza
Kikosi B
1. Aishi Manula
2. Israeli Mwenda
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Shomary Kapombe
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza
Ni Vikosi vya Kimkakati, Ushindi na ambavyo vinawafanya Mawinga waje pia Kusaidia Ulinzi huku Wachezeshaji mahiri Chama na Ntibanzokinza wakiwemo.
Najua Kocha Roberto Olivieira anampenda mno Paoe Sakho ambaye Mimi GENTAMYCINE simpendi Siku hizi kutokana na Utoto wake na Sifa nyingi huku akiharibu rythm ya Timu.
Michezaji ambaye kwa Uchezaji wa Waganda wa kutumia Nguvu leo akipangwa au akiingia baadae atatusaidia sana Simba SC ni Kibu Denis na baadae Habib Kyombo.
Naitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Kibu Denis
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza
Kikosi B
1. Aishi Manula
2. Israeli Mwenda
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Shomary Kapombe
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza
Ni Vikosi vya Kimkakati, Ushindi na ambavyo vinawafanya Mawinga waje pia Kusaidia Ulinzi huku Wachezeshaji mahiri Chama na Ntibanzokinza wakiwemo.
Najua Kocha Roberto Olivieira anampenda mno Paoe Sakho ambaye Mimi GENTAMYCINE simpendi Siku hizi kutokana na Utoto wake na Sifa nyingi huku akiharibu rythm ya Timu.
Michezaji ambaye kwa Uchezaji wa Waganda wa kutumia Nguvu leo akipangwa au akiingia baadae atatusaidia sana Simba SC ni Kibu Denis na baadae Habib Kyombo.
Naitakia Kila la Kheri Simba SC leo.