Hatumpangii Kocha ila nasi Mpira tunaujua vile vile hivyo tunaomba moja ya Squad hili lianze leo Kampala

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,109
Kikosi A

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Kibu Denis
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Kikosi B

1. Aishi Manula
2. Israeli Mwenda
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Shomary Kapombe
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Ni Vikosi vya Kimkakati, Ushindi na ambavyo vinawafanya Mawinga waje pia Kusaidia Ulinzi huku Wachezeshaji mahiri Chama na Ntibanzokinza wakiwemo.

Najua Kocha Roberto Olivieira anampenda mno Paoe Sakho ambaye Mimi GENTAMYCINE simpendi Siku hizi kutokana na Utoto wake na Sifa nyingi huku akiharibu rythm ya Timu.

Michezaji ambaye kwa Uchezaji wa Waganda wa kutumia Nguvu leo akipangwa au akiingia baadae atatusaidia sana Simba SC ni Kibu Denis na baadae Habib Kyombo.

Naitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
 
Kwenye kikosi A tupo pamoja sana, na wakitaka wanitibue nyongo wamchezeshe Bocco.

Kwenye kikosi B Mzamiru hapo amekosekana lakini ana nafasi kwangu
 
Kikosi A

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Kibu Denis
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Kikosi B

1. Aishi Manula
2. Israeli Mwenda
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Shomary Kapombe
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Ni Vikosi vya Kimkakati, Ushindi na ambavyo vinawafanya Mawinga waje pia Kusaidia Ulinzi huku Wachezeshaji mahiri Chama na Ntibanzokinza wakiwemo.

Najua Kocha Roberto Olivieira anampenda mno Paoe Sakho ambaye Mimi GENTAMYCINE simpendi Siku hizi kutokana na Utoto wake na Sifa nyingi huku akiharibu rythm ya Timu.

Michezaji ambaye kwa Uchezaji wa Waganda wa kutumia Nguvu leo akipangwa au akiingia baadae atatusaidia sana Simba SC ni Kibu Denis na baadae Habib Kyombo.

Naitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
Simba inashinda...

Bao ni Vipers 0-3 Simba wakikoswakoswa basi Vipers 1-4 Simba

Wafungaji ni hawa hapa

1. Zimbwe
2. Kapombe
3. Baleke wakikoswakoswa Phiri atatia kambani
4. Kanoute wakikoswakoswa Chama anaweka kambani

Hao 1&2 lazima mmoja atafunga.. au wote kwa pamoja

Kuna mchezaji mmoja atapata majeraha mabaya uwanjani kutokana na kasi ya mchezo kwa hio wacheze kwa tahadhari kubwa..

Nikiangalia naona uwanja utainama kwa hio Simba wacheze na kasi ya mchezo na wasiwe wanacheza na kupooza mipira ni kushambulia mwanzo mpaka mwisho mpira usipoe uwanjani inabidi mpira uwake moto uwanjani huo ndio ushindi wao..

Leo Simba anaenda kufuta aibu.. tusubiri mpira uanze na huu sio uchawi ni maono tu

Simba SC WIN
 
Kikosi A

1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Kibu Denis
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Kikosi B

1. Aishi Manula
2. Israeli Mwenda
3. Mohammed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Shomary Kapombe
8. Clatous Chama
9. Jean Baleke
10. Moses Phiri
11. Saido Ntibanzokinza

Ni Vikosi vya Kimkakati, Ushindi na ambavyo vinawafanya Mawinga waje pia Kusaidia Ulinzi huku Wachezeshaji mahiri Chama na Ntibanzokinza wakiwemo.

Najua Kocha Roberto Olivieira anampenda mno Paoe Sakho ambaye Mimi GENTAMYCINE simpendi Siku hizi kutokana na Utoto wake na Sifa nyingi huku akiharibu rythm ya Timu.

Michezaji ambaye kwa Uchezaji wa Waganda wa kutumia Nguvu leo akipangwa au akiingia baadae atatusaidia sana Simba SC ni Kibu Denis na baadae Habib Kyombo.

Naitakia Kila la Kheri Simba SC leo.
Karibu tena Mwamba.
 
Hii timu mashabiki wana matatizo yaani kila shabiki anapanga kikosi chake sasa kuna haja gani ya kua na kocha?
 
Kwny lineup ya pili, shomari akacheze right wing kweli?
Technically inawezekana kabisa tena ndiyo ataisaidia Timu zaidi Kimashambulizi huku akisaidiana Kukaba na Mwenda. Tatizo lenu hamjui Mpira halafu mnakariri Maisha na Mifumo.
 
Back
Top Bottom