-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 1,669
- 2,797
Mkuu hapa kweli umeongeaUnaheshimu mtu au unaheshimu mafanikio aliyoyapata mtu, na heshima kwa mtu inakuja kutokana na mafanikio yake tu?
Ungemkuta kachoka zaidi ya alivyokuwa miaka mitano iliyopita ingekuwa sawa kumchukulia poa tu?
Tuwaheshimu watu kwa sababu kesho wanaweza kupata mafanikio zaidi na hatujui nani atapata mafanikio zaidi?
Au tuwaheshimu watu tu, kwa sababu kuwaheshimu watu ni jambo jema, bila kujali kama watu hawa tunaowaheshimu watapata mafanikio au hawatapata?
Wewe ni mtumwa sasa unajikataa wewe sio mtumwa? Nafsi inakusuta mtumwa umesoma kwa taaaaabu sana at the end of day Ajira hujapata kazi ya maana huna maisha yako ni unga unga mwana afadhari ya Jana your master has abandoned you but still he/she is looking after you to make sure you don't cross the border and run away minyororo imekuzidi uwezo mtumwa huna mtaji hata wa kuanzisha biashara ya kitumwa wewe ni mtumwa, ndugu zako wamekuchoka kwa vizinga na vibomu mtumwa lini utatoka utumwani mtumwa?Acha usenge basi
Huwez kuandika, bila kusema utumwa
Shame on youWewe ni mtumwa sasa unajikataa wewe sio mtumwa? Nafsi inakusuta mtumwa umesoma kwa taaaaabu sana at the end of day Ajira hujapata kazi ya maana huna maisha yako ni unga unga mwana afadhari ya Jana your master has abandoned you but still he/she is looking after you to make sure you don't cross the border and run away minyororo imekuzidi uwezo mtumwa huna mtaji hata wa kuanzisha biashara ya kitumwa wewe ni mtumwa, ndugu zako wamekuchoka kwa vizinga na vibomu mtumwa lini utatoka utumwani mtumwa?
Pole sana mtumwa
Ndugu na jamaa wa kukutoa utumwani huna mtumwa umebakia kua mtumwa hata marafiki huna mtumwa wanawake unaowasogelea na kuwaomba ujenge nao urafiki uweze kujenga familia wanakukimbia mtumwa kwa sababu wewe hauna kitu mtumwa
Pole sana mtumwa
Umebakia mpweke huna kitu umechoka umechakaa nguo moja Mwaka mzima mtumwa kula yako ya tabu mtumwa huna ndugu huna jamaa huna rafiki huna kazi huna Ajira huna usafiri wa kutembelea mtumwa nyumba huna zaidi ya nyumba ya urithi mtumwa yaan huna mpenzi huna mchumba huna hata mtoto wa kusingiziwa mtumwa hadi sasa umri wako unaenda unakimbilia miaka 40 ushavuka miaka 30 hata bado haujaoa mtumwa
Pole sana mtumwa
Kazi pekee uliyonayo ni ya kubangaiza mtumwa unatumikishwa kazi kubwa na ngumu ya shuruba yenye kutumia nguvu nyingi ya mwili na akili yenye ujira kidogo na kiduchu usiyoweza hata kutimiza mahitaji yako ya muhimu mtumwa unatumikishwa siku nzima bila mlo kwa siku na unaambiwa muda wote uwe active mtumwa yaan unatumikishwa na chakula hupewi mtumwa huo ni utumwa mtumwa yaan wewe unalipwa kiduchu huku your slave master akiingiza Pesa nyingi mtumwa kwenye 100 anakupa 1 yeye anabakia na 99 mtumwa kuchwa kutwa unabaki kujifungia ndani unalia na kusononeka mtumwa unaishi na maumivu ya moyo yasiyo na tiba mtumwa unaishi maisha ya kitumwa huku ukiambiwa upo huru mtumwa ingali ukweli ulio hai ni kwamba bado upo utumwani mtumwa hauna Uhuru wowote mtumwa
Pole sana mtumwa
Kila siku unajiuliza hivi kweli utafika kesho? mtumwa kwa siku mlo mmoja unaupata kwa taaabu sana mtumwa kwako Milo mitatu kwa siku ni Jambo la anasa mtumwa umeishia kukonda mwili na kupatwa na tatizo la afya ya akili mtumwa barabarani unatembea ingali ukiwa unaongea peke yako km kichaa au punguani asie na akili mtumwa kumbe ni degree holder mwenye GPA ya 4.5 yaan wewe ni best student Ila ni mtumwa mlo kwa siku kuupata kwako ni kwa taaabu sana hapo ni kwa kufanya kazi ngumu za shuruba kuchosha mwili na akili na kuhatarisha uhai na afya yako ya mwili na akili mtumwa
Pole sana mtumwa
Ndio ninakuambia wewe wewe hapo unaesoma shairi hili wewe ni mtumwa wewe ni mtumwa bado nakuambia tena wewe ni mtumwa bado upo utumwani mtumwa
Pole sana mtumwa
Pokea shairi hili mtumwa na ulisome kwa umakini mtumwa
Pole sana mtumwa
Unaheshimu mtu au unaheshimu mafanikio aliyoyapata mtu, na heshima kwa mtu inakuja kutokana na mafanikio yake tu?
Ungemkuta kachoka zaidi ya alivyokuwa miaka mitano iliyopita ingekuwa sawa kumchukulia poa tu?
Tuwaheshimu watu kwa sababu kesho wanaweza kupata mafanikio zaidi na hatujui nani atapata mafanikio zaidi?
Au tuwaheshimu watu tu, kwa sababu kuwaheshimu watu ni jambo jema, bila kujali kama watu hawa tunaowaheshimu watapata mafanikio au hawatapata?