STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 807
- 622
naangalia bunge live tbc jioni hii, huyu mbunge amewachana serikali ya ccm kuwa maendeleo kwa wananch ni wajib wa serikali na si ombi,amewaambia wabunge waache kupongeza/kupiga makofi kupongeza serikali kwa kila jambo wakati kuna wananch wengi wanatabika na ahadi nyingi za viongozi wakuu hazitekelezwi. Kumbe kuna majambazi mengine yana akili kidogo