Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wanasiasa tunao, Wananchi wa kawaida tunao, lakini Viongozi wa Dini hatuna.
Tunahitaji viongozi wa dini kama Viongozi wa dini, wasio Viongozi wa dini wanachama wa vyama vya siasa
Tunahitaji Viongozi wa dini watakaoshughulika na siasa za Tanzania na sio Viongozi wa dini Wanachama wa vyama vya siasa vya Tanzania
Kiongozi anayeweza kujihusisha na siasa za Tanzania zenye mlengo wa Katiba ya nchi na ustaarabu wa Kiungu tu na siyo siasa ya vyama
Soma tena utanielewa tu...
Tunahitaji viongozi wa dini kama Viongozi wa dini, wasio Viongozi wa dini wanachama wa vyama vya siasa
Tunahitaji Viongozi wa dini watakaoshughulika na siasa za Tanzania na sio Viongozi wa dini Wanachama wa vyama vya siasa vya Tanzania
Kiongozi anayeweza kujihusisha na siasa za Tanzania zenye mlengo wa Katiba ya nchi na ustaarabu wa Kiungu tu na siyo siasa ya vyama
Soma tena utanielewa tu...