Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Kuna baadhi ya viongozi wa vyama na serikali wamekuwa waki toa maneno, wakiwataka viongozi wa dini wasijiingize kwenye siasa.
La ajabu hao viongozi ni waumini wa hizo dini, na walipoapishwa, waliapa kwa kushika vitabu vya dini zao.
Pia wanapokuwa kweny matukio mbalimbali, wanawashirikishia viongozi wa dini kufanya dua.
Sasa wanaposhauriwa na hao viongozi wa dini, wanawaambia mambo ya siasa wawaachie wanasiasa, na wao wabakie kwenye mambo ya dini.
La ajabu hao viongozi ni waumini wa hizo dini, na walipoapishwa, waliapa kwa kushika vitabu vya dini zao.
Pia wanapokuwa kweny matukio mbalimbali, wanawashirikishia viongozi wa dini kufanya dua.
Sasa wanaposhauriwa na hao viongozi wa dini, wanawaambia mambo ya siasa wawaachie wanasiasa, na wao wabakie kwenye mambo ya dini.