Mimi kwa ujasiri wa yule baba ni naamini ni mkurya
Una shida na sisi wakurya?Hivi Wakurya ni wajasiri???..Sina hakika na hili...ila nafahamu kuwa wana hasira na ni wakali...ujasiri una maana kubwa na pana.anyway .it is debatable....Wahehe wana hasira au ni wakali?, sijui..vipi wasukuma? na Wanyamwezi je?? Vipi Wangoni nao?? vipi Wazaramo pia?? anyway, ni mjadala...ingawa mijadala ya aina hii haina tija kwa mshikamano na umoja wa taifa letu.....
Sikh zote ukisikia MTU yeyote anaitwa mwiru, ujue huyo ni mmatumbi kutoka wilaya ya kilwa, mkoa wa Lindi, mwiru ni ukoo au km mnavyoita watu wa bara koo, baadhi ya koo za kilwa ni pamoja na Mwiru , Mandwanga, Mweyo, Litumbi. Mpamba, Liponjo, mnyembwa, Uponda, Pendapo, Mboweto, Nganikele, Kiyonga, Kikope, Mketo, Mpondi, na nyengine nyingi, hivyo unavyosikia mwiru, ni kama unavyosikia Kimaro, Au Nyanda, Au Mwita, bado utajiuliza kimaro ni wawapi?Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi,
Ni kweli kwamba mzee Kingunge Ngombale Mwiru Hatunae tena,
huyu mzee aliwahi Kuwa kiongozi wetu.
naomba kujua alizaliwa wapi na ni Kabila gani na inakuwaje azikwe Makaburi ya kinondoni.
Kuna kipindi nilijua Kingunge Mwiru ni ndugu wa Damu na chief Kinjikitile Mwale,
niliamini kabisa pale niliposikia Ana mtoto anaye itwa "Kinje" nilimpenda huyu mzee kwa ujasiri wake, ucheshi wake
kuifahamu itikadi
yake vizuri,
kuwa na msimamo (tujifunze hili)
kule kuongea kwake kwa "KOMA" pia jina Lake limekaa kiasili
"Kingunge Ngombale--Mwiru "
tunaomba wanaomjua kuzaliwa kwake watuelezee.
Tafadhali mods msiunganishe huu uzi.
Kazaliwa Kilwa Kipatimu. Kakulia Dar.Swali zuri nami nilipenda kufahamu hilo.
Ila majibu ya wadau duh!!! Kila mtu anajibu lake.
Ni Kilwa Kipatimu lakini hakuwahi kujenga kwaoKilwa kipatimu.
Thanks sana kiongoziKazaliwa Kilwa Kipatimu. Kakulia Dar.
Ni Mchaga wa Kibosho kwa Massawe
Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi,
Ni kweli kwamba mzee Kingunge Ngombale Mwiru Hatunae tena,
huyu mzee aliwahi Kuwa kiongozi wetu.
naomba kujua alizaliwa wapi na ni Kabila gani na inakuwaje azikwe Makaburi ya kinondoni.
Kuna kipindi nilijua Kingunge Mwiru ni ndugu wa Damu na chief Kinjikitile Mwale,
niliamini kabisa pale niliposikia Ana mtoto anaye itwa "Kinje" nilimpenda huyu mzee kwa ujasiri wake, ucheshi wake
kuifahamu itikadi
yake vizuri,
kuwa na msimamo (tujifunze hili)
kule kuongea kwake kwa "KOMA" pia jina Lake limekaa kiasili
"Kingunge Ngombale--Mwiru "
tunaomba wanaomjua kuzaliwa kwake watuelezee.
Tafadhali mods msiunganishe huu uzi.
kabisa Huenda ni miongoni mwao! Kingunge ana historia ndefu, watu wenye umri mkubwa kama wa Kingunge Ngombale Mwiru ni hazina kwa Taifa.Swali zuri....Mimi nafahamu kuwa yeye ni mzaliwa wa Kilwa Kipatimu....kabila lake ni Mmatumbi....Kilwa Kipatimu kuna Misheni ya siku nyingi tangu ukoloni..wengi wa eneo hilo walipata elimu iliyokuwa ikitolewa na wamissionari, nadhani Kingunge ni miongoni mwao...kumbuka kuna Kilwa Kivinje...
Lakini haujasema sehemu specific anayotokea uneeleza historia na watu anaohusiana naoNgombale Mwilu anatoka ukoo wa Kinjekitile Ngwale, Chifu aliyepigana vita ya majimji kuupinga utawala wa Wajerumani.
Kinjekitile Ngwale alikuwa na uwezo wa kuongea na mizimu. Hizi ni imani za asili kabla ya ukoloni kuingia
Ahaaa, hapana Mkuu ila nimeoa kwenye ukoo huo huo.Mkuu ndoo kwenu ama katika harakati za kutafta mkate maana ile ukijani ulinivutia nikatamani nipate mtuu tufanye biashara lakini nikaogopa wajanja
Watoto wamekuwa wengi mno. Ni ngumu kuirejesha ile JF yetu ya ki "Great Thinker" wakati huuturudishe misingi ya JF ya 2009-2015.