Hatuambiwi Kingunge ni mzaliwa wa wapi

Hatuambiwi Kingunge ni mzaliwa wa wapi

Mzee ni Muingereza mwenye asili ya kikongo kutoka kabila la wanzubhung kwenye mji wa Yuri zaman mji huo ulifahamika kama Swane ila sahiv unaitwa Kangise, ni mji mdogo wenye wakazi wapatao 1.6mil.
 
Mimi ninachofahamu ni kuwa a Kingunge Ngombale Mwiru ni mmatumbi na kijiji chake ni kilwa kipatimu, inaonyesha yeye kingunge hakukaa sana kule baada kuwa mwanasiasa, kwa hiyo hakujenga kule: source nenda Kilwa Kipatimu utaelezwa na ndugu zake wamatumbi.
 
Mzee ni Muingereza mwenye asili ya kikongo kutoka kabila la wanzubhung kwenye mji wa Yuri zaman mji huo ulifahamika kama Swane ila sahiv unaitwa Kangise, ni mji mdogo wenye wakazi wapatao 1.6mil.
Mmh wabongo kwa matango pori?, ukitegemea data za jf kwa research unaeza futiwa udhamini na sponsor wako
 
Back
Top Bottom