Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,648
. Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi,
Ni kweli kwamba mzee Kingunge Ngombale Mwiru Hatunae tena,
huyu mzee aliwahi Kuwa kiongozi wetu.
naomba kujua alizaliwa wapi na ni Kabila gani na inakuwaje azikwe Makaburi ya kinondoni.
Kuna kipindi nilijua Kingunge Mwiru ni ndugu wa Damu na chief Kinjikitile Mwale,
niliamini kabisa pale niliposikia Ana mtoto anaye itwa "Kinje" nilimpenda huyu mzee kwa ujasiri wake, ucheshi wake
kuifahamu itikadi
yake vizuri,
kuwa na msimamo (tujifunze hili)
kule kuongea kwake kwa "KOMA" pia jina Lake limekaa kiasili
"Kingunge Ngombale--Mwiru "
tunaomba wanaomjua kuzaliwa kwake watuelezee.
Tafadhali mods msiunganishe huu uzi.
Buriani Kingunge Ngombale Mwiru Watanzania wanakulilia