Headless Person
JF-Expert Member
- Nov 30, 2012
- 307
- 58
Zitto itabidi ajiuzulu unaibu katibu mkuu kwa muda ili kupisha uchunguzi huru na wa haki. Pia Juliana Shonza afanye hivyo. Naamini katika uchunguzi huru na wa haki. Siamini katika hisia, majungu, unafiki, chuki binafsi na tamaa ya vyeo. Ahsante kwa ufafanuzi Mnyika.