Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

Kwa hiyo unachotaka kifanyike ni ushahidi wa Juliana Shonza dhidi ya Dk. Slaa ukaamuliwe na huyo huyo Dk.Slaa?

Ikishe mseme mnapigania haki?! SMH
i
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Jukwaa la MMU na Jukwaa hili, huku hapahitajiki akili nyepesi, who is Juliana ndani ya Chadema? nieleze tu kwa mfano aliwahi kufanya nini ambacho cha kukumbukwa kama alivyokuwa Regia Mtema?

Zitto amefanya mazuri ya kukumbukwa ndani ya Chadema ndio anapoleta ujinga wake sasa hivi watu wanajisikia vibaya sana kumpoteza lakini si Juliana Malaya mbovu tu ambaye mimi binafsi nimemjuwa kwenye migogoro na siyo ujenzi wa chama.
 
Asante Mnyika,angalizo tu hatutegemei haya mambo yachukue muda mrefu na blah blah nyingi.Watuhumiwa wote wamesema wanaushahidi hivyo hilo si suala la kusubiri mwezi ni within 48hrs enough!

Kuhusu hatua hatutegemei ichukue muda mrefu watu kuwajibishwa maana pia umekiri hata Chama kilishafanya uchunguzi hivyo hizi ni nyama tu za kuongeza.Hatutaki tuambiwe hadithi zaidi ya wahusika kuchukuliwa hatua.

Tunataka 2013 mwanzoni tujue muelekeo wa Chama,kama tunaenda na makundi kama haya tena wengine tutanyanyua mikono kutetea vyama tusubiri harakati mitaani pengine zitasaidia.

Mwisho tuache tabia za CCM,tukiri kuna mgawanyiko ndani ya Chama hivyo kauli za Mh Mbowe eti hakuna mgawanyiko zinasikitisha.Kuna mgawanyiko usio wakupuuzia,tunataka tuone uharaka na umakini ktk kuamua mambo yenu wenyewe ili tuwaamini.

Mtizamo,

Asante kwa mtizamo wako. Hata hivyo zingatia kwamba chama kufanya maamuzi yake kwa kuzingatia katiba na kanuni na suala la vikao vya maamuzi ni muhimu kuzingatiwa. Kumbuka kwamba siku chache zilizopita tulikuwa kwenye kikao cha kamati kuu, kikao kingine pengine ni mpaka mwezi Januari.

Kukiri mgawanyiko au mgogoro huku ukiwa haupo ni kujiingiza kwenye propaganda zenye kuwashawishi watanzania wapoteze matumaini ya mabadiliko ambayo wanayo kupitia CHADEMA; tuhuma au shutuma za wanachama wachache haziwezi kuitwa 'mgogoro mkubwa', 'mpasuko mkali' na kuongezewa maneno kuwa "CHADEMA inakufa"!. Kuanza kuifananisha CHADEMA na CCM ilioshindwa kujivua magamba ya ufisadi ni kukwamisha vuguvugu la mabadiliko. Pengine ni kutokana na kuwa uelewa tofauti (tafsiri zisizolingana) kuhusu nini maana ya mgogoro au mpasuko mkubwa.

Ambacho nimekiri hapa, ni kuwa kuna tuhuma na shutuma zimetolewa; ambazo ziletwe rasmi zikiwa na maelezo na vielelezo kwa ajili ya chama kuchukua hatua kwa kuzingatia katiba, kanuni, maadili na itifaki ya chama. Uwepo wa tuhuma au shutuma hizo ama hata kuwepo kwa 'mpasuko' au 'mgogoro' miongoni mwa wanachama wachache; hakuwezi kukufanya utoe tu hitimisho la ujumla kwamba "CHADEMA kina mpasuko au CHADEMA kina mgogoro", labda kama useme CHADEMA kina mgogoro dhidi ya ufisadi na uhujumu!

Ushauri wa uharaka na umakini naamini utazingatiwa.

JJ
 
We endelea kuwatia kiburi tu hao masalia,huyo Zito hafiki hata theluthi ya uungwaji mkono wa Julius Malema(wa ANC/S.Africa) lakini leo Malema yupo wapi? Huyo rafiki yake Kafulila alilia mpaka kuvuja kamasi,baada ya kupigwa chini uanachama NCCR,angalieni sana, Zito kuna ndugu zake wengi sana wanaishi kwa ajili ya yeye kuwa mwanasiasa.

Hapa tunazungumzia usawa wa kuwapatia haki wanachama na viongozi wote ndani ya chama. Katika sakata hili, waliotajwa kuwa wanahusika kwa ushahidi wa wazi dhidi yao ni Zitto Kabwe, Juliana Shonza na Dk. Slaa.

Sasa kwa nini hao wawili wavuliwe nyadhifa zao lakini Dk.Slaa asivuliwe na aachwe yeye kuwa miongoni mwa wahukumu kesi hii?

Itakuwa ni yale yale yanayosemwa na hao masalia, kuwa ndani ya CHADEMA hakuna haki sawa, Dk.Slaa yupo juu ya sheria

Kamati kuu ndiyo itakayounda hiyo tume huru ya uchunguzi na ndiyo itakayotoa maamuzi.

Kamati Kuu ambayo Dr.Slaa na Zitto Kabwe ni wajumbe?

Wakae chonjo wapishe uchunguzi
 
Asante Mh John Mnyika kwa taarifa.

Bila shaka Watanzania wanachama, wapenzi na washabiki wa Chadema wangependa kuona hatua mwafaka zinachukuliwa ASAP
 
john mnyika pia mmekuwa very slow kurespond any attack,najua hamuwezi kujibu yote lakini kuna baadhi ya tuhuma mnazipa umaarufu bure.

Mfano tuhuma dhidi ya dr slaa iliyoandikwa na tuntemeke kuhusu mabwepande imefikia page zaidi ya 40 hakuna any respond while huu ujinga unasambaa kwa kasi bila majibu.naamini mistari mitano tu ingeweza kuzima mjadala.

Tumaini makene ndio msemaji mkuu humu kwanini msimpe muongozo wa kujibu shutuma zilizo dhahiri ni za uwongo? Au mnataka dr slaa ajibu mwenyewe while mnajua lengo kuu ni kumtoa kwenye ujenzi wa chama abaki anapigizana kelele na hawa watoto?

kama ni kweli watakanusha nini?..ya karatu si yako wazi kabisa hata wananchi wanajua... Siku zote ukiwa mwepese kunyoshea wenzio kidole kumbuka vingine vinakunyoshea wewe mwenyewe.. Huyu fisadi kumbe nawe fisadi..... Cdm ndicho chama tunachokiona labda kitaleta mageuzi nchi hii lakini nacho viongozi wake wale wale....
 
Avanti, asante kwa maoni yako hata hivyo zingatia kuwa 'press' yangu ipi? Ikiwa wewe kweli ni mwanachama wa CHADEMA na una malalamiko dhidi ya kadi ya Dr Slaa andika rasmi kwa chama. Kabla ya kuandika malalamiko hayo usome kwanza katiba ya CHADEMA, katiba ya CCM na sheria ya vyama vya siasa. Dr Slaa ameshasema wazi kwamba yeye si mwanachama wa CCM, ni mwanachama wa CHADEMA toka alipohama CCM. Mwanachama akihama chama kimoja tayari anapoteza uanachama wake wa chama cha awali, hii ni kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, katiba za vyama vya siasa na pia hukumu ya mahakama ambayo imewahi kutolewa kuhusu suala la kadi. Ukishazingatia hayo na bado ukaendeleza suala hilo na ikiwa kwenye ni mwanachama utakuwa umeingia kwenye mtego wa kipuuzi wa CCM.

JJ

Ujumbe huu mahsusi kwa bibi Juliana Shonza.
 
Last edited by a moderator:
i
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Jukwaa la MMU na Jukwaa hili, huku hapahitajiki akili nyepesi, who is Juliana ndani ya Chadema? nieleze tu kwa mfano aliwahi kufanya nini ambacho cha kukumbukwa kama alivyokuwa Regia Mtema?

kafungue katiba ya Chadema ukaangalie "who is Juliana"

Zitto amefanya mazuri ya kukumbukwa ndani ya Chadema ndio anapoleta ujinga wake sasa hivi watu wanajisikia vibaya sana kumpoteza lakini si Juliana Malaya mbovu tu ambaye mimi binafsi nimemjuwa kwenye migogoro na siyo ujenzi wa chama

Kumuita kwa majina ya kejeli na matusi hakuondoi nafasi yake aliyoipata kihalali kwa mujibu wa taratibu za chama. Aidha kutokumjua kwako wewe hakumaanishi chochote kwenye muktadha wa suali hili

Kama Chadema inataka kuonyesha kuwa inafuata misingi ya haki, Dk.Slaa, Zitto Kabwe na Juliana Shonza wavuliwe vyeo vyao kwa muda hadi uchunguzi utakapomalizika.

Sio kesi ya kima kupelekewa huyo huyo kima walau hata ingekuwa ngedere
 
Hitimisho lazima liondoke na Juliana Shonza au Dr.Slaa.

Lakini kwa vile Dr.Slaa ni big fish, Shonza aanze kuzowea kuwa mwanachama asiye na cheo chochote Chadema
Shonza atafukuzwa kabisa, ajiandae tu kutafuta chama kingine.

Huku CCM hakuna nafasi hivyo hatutaki wachawi hao.
 
Avanti, asante kwa maoni yako hata hivyo zingatia kuwa 'press' yangu ipi? Ikiwa wewe kweli ni mwanachama wa CHADEMA na una malalamiko dhidi ya kadi ya Dr Slaa andika rasmi kwa chama. Kabla ya kuandika malalamiko hayo usome kwanza katiba ya CHADEMA, katiba ya CCM na sheria ya vyama vya siasa. Dr Slaa ameshasema wazi kwamba yeye si mwanachama wa CCM, ni mwanachama wa CHADEMA toka alipohama CCM. Mwanachama akihama chama kimoja tayari anapoteza uanachama wake wa chama cha awali, hii ni kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, katiba za vyama vya siasa na pia hukumu ya mahakama ambayo imewahi kutolewa kuhusu suala la kadi. Ukishazingatia hayo na bado ukaendeleza suala hilo na ikiwa kwenye ni mwanachama utakuwa umeingia kwenye mtego wa kipuuzi wa CCM.

JJ

Anajua hilo bali anataka kuendeleza malumbano yasiyo na msingi
 
ndani ya chadema kuna baadhi ya vijana wanajiona wao ni maarufu kuliko chama,outrageous!
''anayethubutu kuhujumu chadema,akiwa ndani ya chadema,chama ambacho ndio kimbilio letu wanyonge,hakuna msamaha''
jj mnyika simamia haki,ukweli na maadili.
 
John Mnyika,

Sisi wanachama tunaona kunatatizo kubwa kwenye uongozi wa juu na sio vizuri kulifumbia macho. ZZK, Shoza na wengine walitajwa ni viongozi wa kitaifa na ukweli ulio wazi wameshiriki kukivuruga chama na tukuvuruga sisi wanachama tusio na hatia na tunaojitolea usiku na mchana kujenga, huu ni usaliti kwa wanachama. Kipimo kinachotumika kushughulikia wengine kitumike kuwashughulikia wote bila kujali cheo, ili liwe fundisho kwa yeyote. Mkifunika kombe mtatunyong'onyeza wengi.

Mashambulizi yaliyofanywa na wote yameonyesha wazi chadema ina haja kubwa ya kuwapata viongozi sio ilmradi kiongozi, wameonyesha ukosefu wa heshima, busara hekima na kudharau sisi wanachama wa kawaida. Kama kiongozi anaona hawawezi kazi si ajiuzulu kuliko kuanzisha chama ndani ya chama.

Wasi wasi wangu mtaendelea kulea waovu na kusahau tuliojeruhiwa na kusononeshwa ni sisi tunaofanya chama iwe chadema wala sio hao viongozi wenye tamaa, hila, uroho wa madaraka na wahujumu.

Leo mkiwalea kwa sababu zozote zile hamtakuwa na tofauti na serikali ya JK inaowalea mafisadi kwa woga wa kukosa fedha zao. Sisi tumeamua kuacha yote kuikomboa nchi yetu na hatutajali nani atakuwa kamanda wetu ila asiwe msaliti hatuko tayari.

Kauli za ukanda, udini, madaraka, utengano zilizotolewa na viongozi wa PM7 na masalia sio kauli za mwanasiasa mwenye majukujumu ya kweli.

Sitegemei maamuzi haya yachukue muda mrefu kwani tuhuma karibu zote zilizotolewa zimethibishwa bila chenga na wote waliorudhwa tuhuma. Mkiwa wepesi na waoga kupamabana na hawa eti kwa sababu tu wanatoka makao makuu mtakuwa mmewakosea sana wale madiwani na wote walitoswa kwa kulinda nidhamu ya chama. kipimo kiwe kile kile na iwe haraka.
 
kafungue katiba ya Chadema ukaangalie "who is Juliana"



Kumuita kwa majina ya kejeli na matusi hakuondoi nafasi yake aliyoipata kihalali kwa mujibu wa taratibu za chama. Aidha kutokumjua kwako wewe hakumaanishi chochote kwenye muktadha wa suali hili

Kama Chadema inataka kuonyesha kuwa inafuata misingi ya haki, Dk.Slaa, Zitto Kabwe na Juliana Shonza wavuliwe vyeo vyao kwa muda hadi uchunguzi utakapomalizika.

Sio kesi ya kima kupelekewa huyo huyo kima walau hata ingekuwa ngedere
Wewe akili yako ni ndogo na ndio maana nimekueleza kuna tofuti kubwa kati ya MMU na jukwaa hili, kwenye katiba ya Chadema hakuna sehemu imeandikwa Juliana.

Si kila aliyeshinda uchaguzi basi alistahili, kiongozi makini na wa kweli huwa anaonekana kwa kazi zake na siyo huyu ambaye wengi ndio wameanza kumsikia kupitia migogoro, lakini John Heche hakuna mtu asiyemjuwa kwa kazi za chama anazofanya.

By the way Msichana mdogo kama huyu kujihudisha na makundi ya kishirikina inashangaza sana, hawa ndio aina ya wanawake wanaovundika nyama kwenye vikojoleo vyao kuwalisha wanaume.
 
Back
Top Bottom