Hatma ya James Lembeli imeshaonekana

Hatma ya James Lembeli imeshaonekana

lembeli kama akitaka kupoteza heshima aliyojijengea arudi ccm. sifa ya mwanasiasa makini ni kuwa na msimamo usioyumba kama dr. slaa....
Usiseme Lembeli ni mwanasiasa,sema mwanasiasa mfu kwani kiroho tuko naye ila kisiasa alishakufa kitambo
 
Lembeli hakuhama sababu ya kumfuata Lowassa bali hali ilikuwa ngumu mno kwa yeye kupita kura za maoni mbele ya Jumanne Kishimba ndani ya CCM so upepo wa Lowassa ni coincidence tu.

Na dalili za yeye kukata tamaa zilionekana baada Tu ya tetesi kuwa Kishimba atagombea kabla hata ya Lowassa kukatwa.
 
Mh Raisi Magufuli naomba nikushauri kama mtoto na mwananchi wakawaida
Ili CCM iwe zuri ladhima tujengee aina ya nidhamu.watu wote wanaohama chama nashauri hakuna kurudi kbsa kbsa kbsa wasiwe tena na nafasi katika utawala wako.hii itafanya chama kuwa na nizamu kubwa sana sana
Amebaki zitto
 
S
lembeli kama akitaka kupoteza heshima aliyojijengea arudi ccm. sifa ya mwanasiasa makini ni kuwa na msimamo usioyumba kama dr. slaa....
Si alisema ccm sio mamake wala babake, sasa namshauri aende udp, kwa wanyantuzu.
 
Jua kwamba lembeli alikuwa Wa kwanza kwenda chadema ndio bulayo Na kina lowasa wakaja kwa hiyo alikuwa anajua anafanya nini kushindwa uchaguzi kuna mambo mengi sana najua amejua alikosea wapi atajirekebisha
lembel hata Kura za maoni CCM wasingempitisha...his move was right
 
Wwe unataka kuleta siasa za chuki na za kifedhuli,elewa kwamba siasa ni watu na kuhama kwao huko ndio demokrasia ya mabadiliko,nakuomba mh.Rais usiifanyie kazi huu ushauri maana hajui hata maana ya vyama vingi!
 
Wwe unataka kuleta siasa za chuki na za kifedhuli,elewa kwamba siasa ni watu na kuhama kwao huko ndio demokrasia ya mabadiliko,nakuomba mh.Rais usiifanyie kazi huu ushauri maana hajui hata maana ya vyama vingi!
Kwani mimi nimemshauri chochote raisi juu ya Lembeli?
 
Wwe unataka kuleta siasa za chuki na za kifedhuli,elewa kwamba siasa ni watu na kuhama kwao huko ndio demokrasia ya mabadiliko,nakuomba mh.Rais usiifanyie kazi huu ushauri maana hajui hata maana ya vyama vingi!
asiifanyie kazi wakati kasema wafugaji hawakatazi ngombe aliyekatwa mkia kuingia ila wote wanajua kakatwa mkia tafsiri yake ni ipi?
 
Nidhamu katika uovu. Unajua ilimchukua kiasi gani Lamberi kupingana nanyi ktk ufisadi na kulindana katika uovu huo? By the way, mlishinda uchaguzi kahama?

Siyo Kahama tu, bila mabavu ya dola leo hii ccm ingekuwa upande wa pili, na hili wakubwa wote wanajua.
 
Wanaosema upepo wa Lowasa uliitikisa CCM wasisahau kusema upepo huu pia uliwamaliza kisiasa wasiasa mahiri kama Lembeli na wengineo ambao walisombwa na upepo wa Lowasa na kumfuata upinzani.

James Lembeli ni miongoni mwa wabunge mahiri waliokihama chama cha CCM nakukimbilia CDM.

Ukweli ni kwamba kuhama chama si kosa ila hupaswi kuhama hovyo bali inahitaji sana timing na hili ndilo kosa la wote walioihama CCM kipindi nchi ikiwa kwenye maandalizi yakumthibitisha Magufuli kama raisi wa awamu ya tano.

Ni kweli kwasasa hatma yakisiasa kwa James Lembeli imeshaonekana na hata ukitizama kwa sasa yupo kimya si mitandaoni,radioni ama Luningani.

Nafikiri tangu mwaka huu uanze huenda labda mimi ndio nitakua wa kwanza kumfanya akumbukwe kupitia JF.

Jana tumewaona Fredy Mpendazoe na mzee Mgana msindai wakirejea kutoka uhamishoni na naamini huu ni mwanzo tu ila kwa kasi ya Magufuli tutarajie wengi kurudi CCM.

Kwa hali ilivyo sasa nawiwa kusema kwamba ilikua ni timing mbovu kwa James Lembeli kuihama CCM kwani imepelekea kujiua mwenyewe kisiasa.



James Lembeli siku zote alipinga ufisadi na Lowassa. Ilitokea bahati mbaya kuwa wakati anaikimbia CCM na kujiunga CHADEMA kwa sababu kuu ya ufisadi uliojaa CCM alijiluta akiungana na icon wa ufisadi Tanzania naye akimfuata kule kule CHADEMA kwa sababu zake tofauti. Ninaamini Mzee Lembeli alisikitika sana kumwona Lowassa naye anapokewa CHADEMA. Hakutarajia kuwa ndani ya CHADEMA kulikuwa na wasaliti kama Mbowe ambao wangeweza kuikana agenda kuu ya chama na kumpokea kiongozi wa ufisadi na mafisadi. Naamini Lembeli alikuwa na wakati mgumu sana nadhani mpaka leo hana amani. Hata Mpendazoe aliondoka CCM kuukimbia ufisadi na mafisadi. Sasa CHADEMA ilipoanza kuwa kimbilio la mafisadi waliotemwa CCM ni wazi walijilaumu sana na kuondoa imani kabisa kwa CHADEMA ya Mbowe.
 
kama yuko tayari kuitwa ng'ombe asiye na mkia na aje sasa ni mwendo wa nyumbu na ng'ombe
1469369812873.jpg
1469369818888.jpg

Ni kama hawaa mkuu?
 
Escrow bilioni 300+. Meli Chakavu Bilioni 8, Lugumi Bilioni 30+, n.k.

Chama Cha Mang'ombe (CCM).
Chama Cha Majizi (CCM).
Chama Cha Majipu (CCM).
Unaweweseka - huko watu walishatoka, kovu huwa halitibiki ila kidonda hupona.
 
Back
Top Bottom