Hatma ya James Lembeli imeshaonekana

Hatma ya James Lembeli imeshaonekana

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,323
Reaction score
3,377
Wanaosema upepo wa Lowasa uliitikisa CCM wasisahau kusema upepo huu pia uliwamaliza kisiasa wasiasa mahiri kama Lembeli na wengineo ambao walisombwa na upepo wa Lowasa na kumfuata upinzani.

James Lembeli ni miongoni mwa wabunge mahiri waliokihama chama cha CCM nakukimbilia CDM.

Ukweli ni kwamba kuhama chama si kosa ila hupaswi kuhama hovyo bali inahitaji sana timing na hili ndilo kosa la wote walioihama CCM kipindi nchi ikiwa kwenye maandalizi yakumthibitisha Magufuli kama raisi wa awamu ya tano.

Ni kweli kwasasa hatma yakisiasa kwa James Lembeli imeshaonekana na hata ukitizama kwa sasa yupo kimya si mitandaoni,radioni ama Luningani.

Nafikiri tangu mwaka huu uanze huenda labda mimi ndio nitakua wa kwanza kumfanya akumbukwe kupitia JF.

Jana tumewaona Fredy Mpendazoe na mzee Mgana msindai wakirejea kutoka uhamishoni na naamini huu ni mwanzo tu ila kwa kasi ya Magufuli tutarajie wengi kurudi CCM.

Kwa hali ilivyo sasa nawiwa kusema kwamba ilikua ni timing mbovu kwa James Lembeli kuihama CCM kwani imepelekea kujiua mwenyewe kisiasa.
 
Mh Raisi Magufuli naomba nikushauri kama mtoto na mwananchi wakawaida
Ili CCM iwe zuri ladhima tujengee aina ya nidhamu.watu wote wanaohama chama nashauri hakuna kurudi kbsa kbsa kbsa wasiwe tena na nafasi katika utawala wako.hii itafanya chama kuwa na nizamu kubwa sana sana
 
Mh Raisi Magufuli naomba nikushauri kama mtoto na mwananchi wakawaida
Ili CCM iwe zuri ladhima tujengee aina ya nidhamu.watu wote wanaohama chama nashauri hakuna kurudi kbsa kbsa kbsa wasiwe tena na nafasi katika utawala wako.hii itafanya chama kuwa na nizamu kubwa sana sana
Nipokea ushauri wako ni mzuri. Mimi kazi yangu nikutumbua na nitambua kweli kweli haya majipu
 
Mh Raisi Magufuli naomba nikushauri kama mtoto na mwananchi wakawaida
Ili CCM iwe zuri ladhima tujengee aina ya nidhamu.watu wote wanaohama chama nashauri hakuna kurudi kbsa kbsa kbsa wasiwe tena na nafasi katika utawala wako.hii itafanya chama kuwa na nizamu kubwa sana sana
Hapana mkuu mtoto akijichafua mkono hatuukati bali tutauosha na mtoto akililia wembe unamuacha kwanza ukishamkata then utamwambia sababu za kumkataza kutokuuchezea wembe.Edward aliwahadaa kwakuwapa matumaini makubwa mno ambayo hawakuyapata.
"mzee wangu Msindai karibu sana naona mpaka umekonda",hii ilikua kauli ya raisi jana dodoma
 
Mh Raisi Magufuli naomba nikushauri kama mtoto na mwananchi wakawaida
Ili CCM iwe zuri ladhima tujengee aina ya nidhamu.watu wote wanaohama chama nashauri hakuna kurudi kbsa kbsa kbsa wasiwe tena na nafasi katika utawala wako.hii itafanya chama kuwa na nizamu kubwa sana sana
Nidhamu katika uovu. Unajua ilimchukua kiasi gani Lamberi kupingana nanyi ktk ufisadi na kulindana katika uovu huo? By the way, mlishinda uchaguzi kahama?
 
Chama cha majizi kiasi kwamba wanajipiga ngwala na kujiibia million 10 za posho zao wenyewe !!!!

Wakipewa nchi itakuwaje???Nawaomba watanzania wenzangu tuungane Majizi Chadema hawana nafasi.
 
Hapana mkuu mtoto akijichafua mkono hatuukati bali tutauosha na mtoto akililia wembe unamuacha kwanza ukishamkata then utamwambia sababu za kumkataza kutokuuchezea wembe.Edward aliwahadaa kwakuwapa matumaini makubwa mno ambayo hawakuyapata.
"mzee wangu Msindai karibu sana naona mpaka umekonda",hii ilikua kauli ya raisi jana dodoma
Hapana ni Tanzania tuu upo uchafu huu.Siku nikipata kuwa Wa Mwenyekiti Wa ccm Taifa watanikoma sana sana.jiulize labour party vs conservative party au democratic vs Republican parties wanafanya ujinga huo.Mimi nasema ukitoka ccm hakuna kurudi.Mrema mbona hajarudi ccm na bado anafanya kazi na ccm.Magufuli nakuomba ili kusiwe na mchezo wakukidhofisha chama nashauri kama Mwanaccm Wa mrengo mkali usiopinda kbsa tofauti na Mrengo wakati Wa MhKikwete na pia wewe na Mimi mrengo wetu unafanana sasa Fanya hivyo wale wote Jana waliotangaza kurudi wafukunze simama kishujaa maana wewe ni shujaa watimue ukifanya hivyi chama kitakuwa na nizamu kubwa sana hakuna hayamambo yakukisaliti chama utasikia tens naomba uniunge mkono Mimi mwanamrengo mwezako.natamani ningeweza kunywa chain nawewe kwenye kikombe kimoja ningepumua kwa Amani sana
 
Mh Raisi Magufuli naomba nikushauri kama mtoto na mwananchi wakawaida
Ili CCM iwe zuri ladhima tujengee aina ya nidhamu.watu wote wanaohama chama nashauri hakuna kurudi kbsa kbsa kbsa wasiwe tena na nafasi katika utawala wako.hii itafanya chama kuwa na nizamu kubwa sana sana

kama ulimsikia jana alisema kama mchungaji siku ukiona ngo'mbe wako anarudi na mkia uliokatika huwezi kumzuia kuingia zizini, ala ngo'mbe wezake watagundua kuwa huyu mwezetu hanamkia.
kwahiyo hao wanaorudi ccm watambue kuwa wataangaliwa kwa umakini sana na wezao, na watabaki kuwa wanachama tuu, hawata husishwa kwa lolote lile, na hiyo ndio adhabu yao.
 
Lembeli alishindwa alishindwa kuelewa nchi nyingi za kiafrika wapiga kura sio final decision makers kwenye votes.

Kuna factors kibao.

Lakini pia alishindwa kutofautisha mapenzi kwa mtu binafsi na mapenzi kwa chama.
 
Chama cha majizi kiasi kwamba wanajipiga ngwala na kujiibia million 10 za posho zao wenyewe !!!!

Wakipewa nchi itakuwaje???Nawaomba watanzania wenzangu tuungane Majizi Chadema hawana nafasi.
Escrow bilioni 300+. Meli Chakavu Bilioni 8, Lugumi Bilioni 30+, n.k.

Chama Cha Mang'ombe (CCM).
Chama Cha Majizi (CCM).
Chama Cha Majipu (CCM).
 
Jua kwamba lembeli alikuwa Wa kwanza kwenda chadema ndio bulayo Na kina lowasa wakaja kwa hiyo alikuwa anajua anafanya nini kushindwa uchaguzi kuna mambo mengi sana najua amejua alikosea wapi atajirekebisha
 
Lembeli anazumzwa kwenye masuala ya maliasili!! Pia kamati yake "ilivyofanikiwa "kumuyumbisha waziri wa maliasili wakati huo Kagasheki wakati waziri wa wakati huo akikaribia kudhibiti vitendo viovu vya ujangili!
 
Chama cha majizi kiasi kwamba wanajipiga ngwala na kujiibia million 10 za posho zao wenyewe !!!!

Wakipewa nchi itakuwaje???Nawaomba watanzania wenzangu tuungane Majizi Chadema hawana nafasi.

wewe ni ng'ombe yupi? mwenye mkia au asie na mkia
 
Back
Top Bottom