First class ignorance.mhhhh mbowe ni mlezi kisiasa wa zitto???toka lini????
First class ignorance.mhhhh mbowe ni mlezi kisiasa wa zitto???toka lini????
First class ignorance.mhhhh mbowe ni mlezi kisiasa wa zitto???toka lini????
Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.
Sasa wa kusifiwa hapa ni Nani Kati ya Zito au UKAWA?Manake pamoja na tofauti zao za kisiasa,UKAWA
wamemuunga mkno Zito kwa hoja iliyotokewa na Zito kwa Kuwa Ina maslahi kwa wananchi.Ifike mahali watu tuweke maslahi ya wananchi mbele badala ya kikundi au mtu.Viva UKAWA.
Zitto elimu yake sio ya kuungaunga
Huo usaliti gani alioufanya hadi wakamfukuza??cwez kumfananisha mwokozi wetu na Mbowe bt nimekutolea mfano kama mwokozi wetu aliweza kukaa na watu wabaya itakuwa Mbowe Zitto kukaa na Mbowe akumpi clearance ya kuonekana c msaliti
MM1&MM2&MM3 hizo Ndo code names zao walizotumia kupanga mipango haramu kwa maana nyingine chadema ingekuwa ni serikali Leo Zitto angehukumiwa kwa kesi ya uhainiHuo usaliti gani alioufanya hadi wakamfukuza??
Hapana mkuu ni kama kubeneaZitto elimu yake sio ya kuungaunga
moto wa mabua huo.Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.
Aibu! Mnafiki,Msaliti kaibua hoja nyie mimaji pwapwapwa. Mmeiva. Zitto ni habari ingine kabisa. Rejea hotuba ya kuliaga bunge! Go Zitto.Kwenye Siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu.
Zitto ili apate kung'aa ana wahitaji UKAWA.
Uwezo wako wa kufikiria naona umeishia hapo ..Zitto kweli anahitaji pongezi japo watu kama kina Mnyika na Lissu wanateseka sana kwa ujio wake ukawa